mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Akimuombea asimuombee akigalagala asigalegale ni mama mpaka 2030 Mungu akipenda na umri na afya vikiwepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu wa hovyo kabisa
Akimuombea asimuombee akigalagala asigalegale ni mama mpaka 2030 Mungu akipenda na umri na afya vikiwepo
Wewe unasemaUna maana huyo ndugu ni punguani?
Pdiddy angekuwa uraiani tungemuuliza kama anataka wengine tena bure kabisa
Kazi ya SSHHizo ni fedha za Samia au kodi za Watanzania....kwa kweli tunahitaji katiba mpya
Hilo sio suala la kuomba Mama tunaye na tutatamba nae hadi 2035Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
😂🤣😂Mtu wa hovyo kabisa
Endeleeni tu kumchuria.Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
2050Hilo sio suala la kuomba Mama tunaye na tutatamba nae hadi 2035
Kwanini unagaragara kama ni kazi ya SSHKazi ya SSH
Kwa sababu huna akiliMimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
Mimi na wewe ni nani ambaye hana akili?Kwa sababu huna akili