Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kumbe ule utafiti uliosema kuwa kati ya Watanzania wanne kuna kicha mmoja! This is a proof.
 
Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
 
Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
Hilo sio suala la kuomba Mama tunaye na tutatamba nae hadi 2035
 
Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
Endeleeni tu kumchuria.
 
Mimi Mwenyewe najikuta nabubujikwa na machozi ya furaha muda wote kila nikiangalia mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia ndani ya miaka hiyo mitatu.ambapo imekuwa ni kama ndoto au miujiza. Vipi akiongoza miaka kumi? Mnafikiri Tanzania itakuwaje? Ni nchi gani hapa Afrika mashariki na Afrika kwa ujumla itaifikia Tanzania kiuchumi na kwa maendeleo? Kwanini tusimpe miaka mingine Kumi ikiwezekana hadi 2035? Maana katiba ni yetu na tunaweza hata kuibadilisha wenyewe
Kwa sababu huna akili
 
Back
Top Bottom