Pre GE2025 Kisa ujenzi wa madarasa, Mwijaku agalagala kwenye matope akimpongeza Rais Samia

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kalipwa milioni 5 hapo kwenda kufanya hivyo. Plus ticket ya ndege na gharama za hotel. Na hapo ni kazi ya siku mbili tu.

Mwijaku sio mjinga. Kabla hujamcheka jiulize wewe unalipwa shilingi ngapi ?

Hata wala rushwa na watekaji pia hulipwa vizuri.

Kwa hiyo tujustify ujinga kwa sababu wnalipwa vizuri?

CHEAP ARGUMENT
 
Hata wala rushwa na watekaji pia hulipwa vizuri.

Kwa hiyo tujustify ujinga kwa sababu wnalipwa vizuri?

CHEAP ARGUMENT


Kufanya taaluma yako , ama ulichosomea chuo kikuu ni ujinga?

Mwijaku ana degree ya sanaa ya maigizo kutoka chuo kikuu cha dar es salaam

Hiyo anayofanya ni kazi ya sanaa

Mwijaku kitaaluma ni msanii, hivyo hapo yupo kazini.
 

 
Hii nchi tuna wajinga wengi...karne ya 21 una garagara kwa sababu ya madarasa, wakati kuna nchi jirani tu hapa wanarusha satelite kwenda anga za mbali.
Yamekuwa mashindano ya kugalagala. Next one atagalagala kwenye majitaka πŸ˜†
 
Lilifaulu darasani na lina degree mbili kutoka vyuo bora nchini
Tanzania kuna chuo bora?

Sasa kama Mwijaku kasoma vyuo bora nchini na anafanya upuuzi kama huo hao ambao wamesoma vyuo vya kawaida watakuaje?
 
Kwakua hafanyi bure basi siyo ujinga
 
"Wasomi bado ni watumwa kwa wanasiasa" Aliimba Joh Makini
Hao ndio wasomi tulionao. Kwani mama anatoa pesa zake mfukoni au ni pesa za serikali?!
Bora ujinga waliofunya mababu zetu haukuwa na kumbukumbu za video kama leo. Baadae wajukuu zako wanaweza kulichapa viboko kaburi lako.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Nimechoka saaanaa

Huyu Mwijaku ana matatizo ya akili kweli, sio kawaida hii πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…