Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Noma sana!Nimesikia akiongea redioni leo nikasema nani huyu mbona anaonekana hana weledi kabisa, nikashangaa mno kusikia eti ni dc wa Kisarawe, kweli ccm imeishiwa watu kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana!Nimesikia akiongea redioni leo nikasema nani huyu mbona anaonekana hana weledi kabisa, nikashangaa mno kusikia eti ni dc wa Kisarawe, kweli ccm imeishiwa watu kabisa.
Ni kweli kabisa nafikiri njia a;liyoipitia ndio mbaya lakini malengo yake ni mema kabisaInawezekana kuzuia ila siyo kwa style kama hii yake
Hapo ndio maana ya Uongozi ambao Bwana Magoti hanaNi kweli kabisa nafikiri njia a;liyoipitia ndio mbaya lakini malengo yake ni mema kabisa
Basi ngoja tuone mrejesho wake.Hapo ndio maana ya Uongozi ambao Bwana Magoti hana
Hamalizi miezi 3 ,mzaramo umkataze ngoma ? WeeAnazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
Sawa sawaWatamdeal muda si mrefu
Ndiye aliyekuwa mshauri wa Rais mambo ya siasa Ikulu🤣🤣🤣Huyu ndiye DC Mpya wa Kisarawe aliyeaminiwa na Mamlaka ya Uteuzi, Angalieni vipaumbele vyake.
View attachment 3025814View attachment 3025815
Yaani unateua mtu hata miiko ya uongozi hajui! Hivi hii nchi imeishiwa watu wa kuteuliwa?
Aiseeeee!!!Ndiye aliyekuwa mshauri wa Rais mambo ya siasa Ikulu🤣🤣🤣
Anamuiga mzee wa Rombo akiwa mkuu wa mkoa wa Tabora, bwana harusi sukuma ndani, bi harusi sukuma ndani, mpiga ngoma suka ndani, mchagua mchele sukuma ndani, baba na mama wa bi harusi sukuma ndani..........Huyu ndiye DC Mpya wa Kisarawe aliyeaminiwa na Mamlaka ya Uteuzi, Angalieni vipaumbele vyake.
View attachment 3025814View attachment 3025815
Yaani unateua mtu hata miiko ya uongozi hajui! Hivi hii nchi imeishiwa watu wa kuteuliwa?
Mzee wa kazi chafu huyo, Mzee Mangula chupuchupu kuaga dunia kwa kazi ya huyo mwamba. He is really bad news.Huyu ndiye DC Mpya wa Kisarawe aliyeaminiwa na Mamlaka ya Uteuzi, Angalieni vipaumbele vyake.
View attachment 3025814View attachment 3025815
Yaani unateua mtu hata miiko ya uongozi hajui! Hivi hii nchi imeishiwa watu wa kuteuliwa?
Anatimiza majukumu yake vizuri.usafi wake nini?
anatafuta kulogwa akafie mbaliHuyu ndiye DC Mpya wa Kisarawe aliyeaminiwa na Mamlaka ya Uteuzi, Angalieni vipaumbele vyake.
View attachment 3025814View attachment 3025815
Yaani unateua mtu hata miiko ya uongozi hajui! Hivi hii nchi imeishiwa watu wa kuteuliwa?
Huyo amesharogwa labda wafanye finishing tu.Huyo asubirie kurogwa tu..
kunema mwali hakuna uhusiano wowote na binti kutosoma, na hakuna uhusiano wowote na uislamu, ni tamaduni ya mila za makabila, ni sehemu ya elimu asilia ya jadi (jando na unyago) ya kumfundisha binti kuwa kavunja ungo anatakiwa ajielewe kama binti, wapo walio pitia mila hiyo na wakaendelea na masomo yao. halafu mkiambiwa ngoma nyie mnafikiria vigodoro vya kishenzi vya uswahilini dar es salaam, huko kisarawe kuna ngoma za asili sio hizi za mijiniAnazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
huyo namfananisha na mhusika mmoja kwenye novels za James Hadley Chase akiitwa Vitto Ferrari. Huyo kazi yake ni kutoa roho tu, ukimpa kazi ya kumuua mtu anakuuliza kuwa unataka ionekane vipi, yaani iwe ni mauji, mtu amejiua mwenyewe au ajali, vyovyote unavyotaka ndiyo itakuwa.Huyu ndiye DC Mpya wa Kisarawe aliyeaminiwa na Mamlaka ya Uteuzi, Angalieni vipaumbele vyake.
View attachment 3025814View attachment 3025815
Yaani unateua mtu hata miiko ya uongozi hajui! Hivi hii nchi imeishiwa watu wa kuteuliwa?