Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi

Kisarawe: DC Magoti apiga marufuku shughuli za ngoma kuhusisha wanafunzi

Ila nao wamezidi, watoto wanafyatuka na mingoma isiyo na maadili.!! Halafu mnaombeza muwe waelewa, yeye kakataza kwa wanafunzi.!!

Hizo ngoma asilimia kubwa zinahamasisha ngono
Kwani ngono wakifanya wao wewe unateseka vipi?

Mbona nyinyi hamuingiliwi na mila zenu za chagulaga?
 
Bibi zao wamepita huko na wazazi wakabariki yaendelee, nilipita twice ila kwa busara zangu nikaacha tu yanipite
Ni ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.

Zile ngoma ni za hovyo sana, mpiga ngoma akizima anachagua mwanamke yeyote yule anayemtaka hata km mke wa mtu akamle kichakani, akimaliza ndio ngoma inaendelea na hapo ni kundi zima linaingia vichakani kila mtu na wake.!! Hakuna kinga hapo ni kujibebea magonjwa.

Ndiomana wanaimba “Chakala chakala mikoroshini mamaa!! Waambulia gono la Mia mbili mamaa!!”
 
Ni ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.

Zile ngoma ni za hovyo sana, mpiga ngoma akizima anachagua mwanamke yeyote yule anayemtaka hata km mke wa mtu akamle kichakani, akimaliza ndio ngoma inaendelea na hapo ni kundi zima linaingia vichakani kila mtu na waje.!! Hakuna kinga hapo ni kujibebea magonjwa.

Ndiomana wanaimba “Chakala chakala mikoroshini mamaa!! Waambulia gono la Mia mbili mamaa!!”
Ni wa kanda hiyo nini Lamomy toto la Mbaga Jr
 
Ni ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.

Zile ngoma ni za hovyo sana, mpiga ngoma akizima anachagua mwanamke yeyote yule anayemtaka hata km mke wa mtu akamle kichakani, akimaliza ndio ngoma inaendelea na hapo ni kundi zima linaingia vichakani kila mtu na wake.!! Hakuna kinga hapo ni kujibebea magonjwa.

Ndiomana wanaimba “Chakala chakala mikoroshini mamaa!! Waambulia gono la Mia mbili mamaa!!”
Sijasoma ulichoandika ila nakuunga mkono love
 
View attachment 3025621

Wazaramo na wandengereko sasa wamefikiwa, mambo ya kula vitoto vya miaka 12 sasa basi !
Ila bwana DC Magoti kuna swali huku, ni utamaduni wa Wazaramo na wandengereko msichana akifika miaka 12[kuvunja ungo] anachezwa ngoma na anafundishwa na kungwi namna ya kufanya mapenzi, je na hili nalo la kuwacheza watoto liachwe?


Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya hiyo kwamba vitendo hivyo vikibainika akamate kuanzia Mpiga ngoma, Wazazi wa Mtoto, aliyepewa tenda ya muziki hadi gari lililobeba muziki huo.

“Mtu wa Maendeleo ya Jamii upo wapi?, malezi hapa ni zero, una Watoto? Mwanao yupo darasa la ngapi?, chekechea?, sasa fikiria Mwanao yupo darasa la tatu akapigwa mimba utajisikiaje?, si vibaya? ndio rahisi anavyojisikia vibaya hivyo kusikia Watoto wana mimba, kwahiyo andaa utaratibu wa semina na mikutano ya darasa la maadili kuanzia July mwaka huu kila Shule tuwe na mambo ya maadili, Mtu yoyote anayetaka kuweka nguvu kuhusu unyanyasaji wa kijinsia twende nae, ukiona Mtu ananyemelea kabinti kashule njoo niambie huyu alikuwa na Mtoto nimemuona anamshika chuchu tutamshughulikia vibaya mno!

Watu wa kuja wageni kama maDC wanatakiwa kuzingatia mila za wenyeji wao.
 
Back
Top Bottom