Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Tunaovizimia vitoto vya kizaramo tukutane hapa kwa kikao cha dharura.
Huyu Dc ni wa kumshusha busha tu ili awe na adabu.
Huyu Dc ni wa kumshusha busha tu ili awe na adabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sio wanenguaji ila kuzalisha kizazi cha hovyo, hivi ushawahi kujoin kwenye hizo ngoma zao?? Unaijua chakala chakala mikoroshini?? Unajua inamaanisha nini??Sio mbaya wanatafutwa wanenguaji
Kwani ngono wakifanya wao wewe unateseka vipi?Ila nao wamezidi, watoto wanafyatuka na mingoma isiyo na maadili.!! Halafu mnaombeza muwe waelewa, yeye kakataza kwa wanafunzi.!!
Hizo ngoma asilimia kubwa zinahamasisha ngono
Bibi zao wamepita huko na wazazi wakabariki yaendelee, nilipita twice ila kwa busara zangu nikaacha tu yanipiteHapo sio wanenguaji ila kuzalisha kizazi cha hovyo, hivi ushawahi kujoin kwenye hizo ngoma zao?? Unaijua chakala chakala mikoroshini?? Unajua inamaanisha nini??
Nateseka sababu ni wanafunzi, wanatakiwa wazingatie masomo.!! Umri wao hauruhusu.Kwani ngono wakifanya wao wewe unateseka vipi?
Mbona nyinyi hamuingiliwi na mila zenu za chagulaga?
Ni ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.Bibi zao wamepita huko na wazazi wakabariki yaendelee, nilipita twice ila kwa busara zangu nikaacha tu yanipite
Ni wa kanda hiyo nini Lamomy toto la Mbaga JrNi ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.
Zile ngoma ni za hovyo sana, mpiga ngoma akizima anachagua mwanamke yeyote yule anayemtaka hata km mke wa mtu akamle kichakani, akimaliza ndio ngoma inaendelea na hapo ni kundi zima linaingia vichakani kila mtu na waje.!! Hakuna kinga hapo ni kujibebea magonjwa.
Ndiomana wanaimba “Chakala chakala mikoroshini mamaa!! Waambulia gono la Mia mbili mamaa!!”
Sijasoma ulichoandika ila nakuunga mkono loveNi ujinga na muda wao wa kukomeshwa mila za hovyo bado haukufika, sasa umefika na DC kazuia.
Zile ngoma ni za hovyo sana, mpiga ngoma akizima anachagua mwanamke yeyote yule anayemtaka hata km mke wa mtu akamle kichakani, akimaliza ndio ngoma inaendelea na hapo ni kundi zima linaingia vichakani kila mtu na wake.!! Hakuna kinga hapo ni kujibebea magonjwa.
Ndiomana wanaimba “Chakala chakala mikoroshini mamaa!! Waambulia gono la Mia mbili mamaa!!”
Hamna mimi sio mzaramo ila nawapata vyedi.!
Na kwann husomi??Sijasoma ulichoandika ila nakuunga mkono love
AfadhaliHamna mimi sio mzaramo ila nawapata vyedi.!
Ht nikisoma bado ntakuunga mkono, lolote unalosema n lazima nikuunge mkonoNa kwann husomi??
Nunua gari wewe acha kuunga mikonoHt nikisoma bado ntakuunga mkono, lolote unalosema n lazima nikuunge mkono
Ila hata ningezaliwa uzaramoni pia ningepinga hili vilevile.!! Hapa anapigania maisha ya wanafunzi.!Afadhali
Nikipata pesa ntanunuaNunua gari wewe acha kuunga mikono
Leo umenikwaza ku entertain ujinga.!! Bado nimekumind, sijui sababu nimekupa uhuru wa kunitania unavuka mipaka??Ht nikisoma bado ntakuunga mkono, lolote unalosema n lazima nikuunge mkono
Watu wa kuja wageni kama maDC wanatakiwa kuzingatia mila za wenyeji wao.View attachment 3025621
Wazaramo na wandengereko sasa wamefikiwa, mambo ya kula vitoto vya miaka 12 sasa basi !
Ila bwana DC Magoti kuna swali huku, ni utamaduni wa Wazaramo na wandengereko msichana akifika miaka 12[kuvunja ungo] anachezwa ngoma na anafundishwa na kungwi namna ya kufanya mapenzi, je na hili nalo la kuwacheza watoto liachwe?
Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Petro Magoti amepiga marufuku Watu kuandaa shughuli za ngoma kama vile mdundiko, unyago na sherehe za muziki na kuruhusu Wanafunzi kujumuika na kuserebuka kwenye shughuli hizo ambapo amemuagiza Mkuu wa Polisi Wilaya hiyo kwamba vitendo hivyo vikibainika akamate kuanzia Mpiga ngoma, Wazazi wa Mtoto, aliyepewa tenda ya muziki hadi gari lililobeba muziki huo.
“Mtu wa Maendeleo ya Jamii upo wapi?, malezi hapa ni zero, una Watoto? Mwanao yupo darasa la ngapi?, chekechea?, sasa fikiria Mwanao yupo darasa la tatu akapigwa mimba utajisikiaje?, si vibaya? ndio rahisi anavyojisikia vibaya hivyo kusikia Watoto wana mimba, kwahiyo andaa utaratibu wa semina na mikutano ya darasa la maadili kuanzia July mwaka huu kila Shule tuwe na mambo ya maadili, Mtu yoyote anayetaka kuweka nguvu kuhusu unyanyasaji wa kijinsia twende nae, ukiona Mtu ananyemelea kabinti kashule njoo niambie huyu alikuwa na Mtoto nimemuona anamshika chuchu tutamshughulikia vibaya mno!