Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba pwani hakuna makafiri kama wewe!!!Anazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
Kwamba pwani hakuna makafiri kama wewe!!!Anazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
sema tu waislam hawakusoma. chakusangaza anaekuongoza mwanamke kutoka pwani.Anazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
Huko atanyooka tu ataomba uhamisho mwenyewe.Jamaa Lina roho mbaya kichizi, kweli huyu ni chinjachinja
Wamchapie mkewe tu maana mwamba ana kifaa kweli kweli.Huko atanyooka tu ataomba uhamisho mwenyewe.
Acha chuki na uislamu sasa hizi Ngoma zinahusiana vp na uislamuAnazuia mila za Pwani au sio?
Pwani huko Elimu hauna umuhimu kiviile kuliko mila zao pamoja na Uisilamia
Anakataza wanafunzi kuchezewa hizo ngomaNi kama sijaelewa,anachokataza ni hizo shughuli za ngoma kwa ujumla au anakataza wanafunzi kuruhusiwa kushiriki katika hizo shughuli?
Kama anakataza kwa ujumla kwamba ni marufuku watu kufanya shughuli za ngoma hilo hawezi na hatofanikiwa.
Wazaramo tutamfundisha jinsi mgeni ukifika sehemu ni namna gani unatakiwa kuishi na wenyeji wako, Unajua baadhi ya hawa ndugu zetu kutoka bara huko wakipata madaraka basi hujiona wao ndiyo kila kitu wanaweza kufanya chochote,hiyo siyo sawa.
Anawakata watu stimuHuyo naye tamaduni za watu hizo
Sio mbaya wanatafutwa wanenguajiIla nao wamezidi, watoto wanafyatuka na mingoma isiyo na maadili.!!