joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Kanuni ya wapi hiyo? Hiyo nimeacha space may be ww uniambie,hiki nilicho kiandika na hiyo story yako na hiki kilicho tokea Kisarawe vina uhusiano gani.Joseph,
Katika uandishi unaweka dot 3 ... zinatosha.
Si mliendaga kwa papa mkawa mnabeba hilo fungu directLup...
Unajua kuwa Makanisa yanapokea ruzuku ya mabilioni kutoka serikalini na Waislam hawana firsa kama hiyo?
Mini...Hivi Mzee wangu unajua baadhi ya rejea hupoteza uhalisia wake baada ya muda mrefu kupita kutokana na mabadiliko kadhaa ambayo huwa yanatokea?
Kitendo cha kutumia rejea ya 1999 ambayo kiuhalisia kwasasa kuna mabadiliko makubwa kwenye baraza la Taifa la Mitihani na kuongezeka kwa ufaulu kutokana na ongezeko la shule nyingi za Sekondari kunapoteza credibility ya andiko lako.
Kinacholalamikiwa si uchakavu wa majengo wala vijana kukosa fursa ya kwenda Sekondari, bali Mkuu wa Wilaya ana detailed information kuwa kuna vijana wamefaulu na hawajaenda sekondari ila wamesafirishwa na wazazi wao kupelekwa hapo kupata hiyo elimu ya dini.
Huoni kuna kitu cha kufikirisha hapo juu ya kinachoendelea maana ukiachilia mbali shuleni kuwa na somo la dini na huko walipotoka kuna misikiti na madrasa, kwanini wakatishwe masomo walipotoka na kuletwa hapo ilihali hiyo elimu ya dini walikuwa wana uwezo wa kuipata hata huko walipotoka?
Ila Kuna baadhi ya wazazi ni wajinga sana isee! Hivi wengine watoto hawawaumi Nini??Watoto kutoka Mtwara, Singida, Nairobi n.k wakutwa katika mazingira yasiyo rafiki ya malazi huku wakikosa elimu dunia msikitini Kiluvya wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani nchini Tanzania wakipatiwa mafunzo ya kidini.
View attachment 3039378
Uislam na Mafundisho yake sio ya Kisomi wala hayahitaji akili kama za Newton kujua kama hao watoto wanafundishwa ujingaStorm...
Huu mjadala mzito na wa kisomi.
Jiepushe na lugha za ''bhana,'' hapa si mahali pake.
Katoa muda mpaka Jumamosi. Wasiokuwa na nauli atawapatia.Huyu nae badala ya kujiuliza nani kawaleta hapo na je wazazi wanajua hilo?
Na kama wanajua wameangalia maisha wanayoishi watoto na je wanafundishwa nini hapo?
Lazima kuangalia chanzo na kama wamevunja sheria wachukuliwe hatua ila kama ni child slavery lijulikane pia wanalimishwa na nani?
Kabla ya kufika maamuzi ya kuwaondoa hapo ingebidi awajuishe wazazi pia kuwa waje wawachukuwe watoto wao
Tatizo letu hatujui kutatua matatizo
Serikali igharamie watoto kwa kuhakikisha wanachukuliwa salama
Je kama wakipelekwa kwingine na kufichwa tena
Au Magoti anataka kuona hakuna watoto hapo kwa masaa 24 bila kujua watapelekwa wapi
Tumieni akili basi
Hivi unaijua misimamo na mionekano yao hao watu au unajiandikia tu, tena hakutakiwa kuwepo Dc peke yake ni kamati nzima ya usalama tena ya mkoaKulikuwa na ulazima DC kuwepo kwenye hiyo operation?
Mzee, ungetafuta kwanza ufafanuzi wa wa mafundisho wanayopewa humo msikitini kabla hujaamisha mjadala kwenda NECTA. Litakapotokea la kutokea utasema uislam hautufundishi hivyo. Sasa hivi kun jukumu la kujua mafundshilo hayo yanalenga nini na wanagungldishwa nini? Isije kuwa wanafundishwa vitu tofauti kwa mhongo wa elimu ya dini. Najua wewe ni msomi, Sasa wasomi hufanya utafiti kabla ya kuzungumza. Tafuta kwanza mafundisho yao Yana msingi gani.Bagamoyo,
Rejea kwenye hiyo video uitazame na usikilize ukiwa makini.
Hakuna mwanafunzi yeyote kutoka nje ya Tanzania.
Rejea usikilize tena hao wanafunzi wengi wameishia darasa la saba na wameletwa hapo na wazee wao waje wasome dini.
Tatizo labda liko hapa.
Nimetumia neno ''labda'' kwa makusudi ili ikiwa lipo tatizo lingine lisemwe.
Ikiwa wewe ni Muislam hutopata tabu unapambiwa watoto wengi wa Kiislam huishia darasa la saba.
Kitwana Kondo alipata kulizungumza hili Bungeni.
Nakuwekea hotuba yake uisome.
(Hotuba ya Mh. Kitwana Kondo (MB) aliyoitoa Bungeni Dodoma, 1999)
Waislam waliofanyiwa mtihani wa kuingia kidato cha kwanza majority yaani wengi walikuwa Waislam na Wengine walikuwa ndiyo wachache.
Waliochaguliwa kuanza kidato cha kwanza wengi walitoka katika wale Wengine na Waislam wakawa wachache.
Waislam kwa kuthamini elimu ndiyo wanawapeleka watoto wao katika shule hizi za ''kimasikini,'' kusoma.
Hatuna ubavu wa kushindana na shule za Wengine ambazo zinapewa ruzuku mabilioni ya kutoka serikalini kupitia Memorandum of Understanding (MUM) katika ya Serikali na Makanisa.
Yapo mengi katika matatizo yanayowakabili Waislam moja wapo ilikuwa NECTA kuhujumu shule za Waislam.
Naamini unayajua maandamano ya Waislam mwaka wa 2012.
Tutoke hapo.
Kama tatizo la kuvamia msikiti usiku wa manane DC na Kamati ya Amani mbona kuna shule za mbovu kupita kiasi hazijavamiwa na wanafunzi kurudishwa makwao?
Angalia ushahidi huo hapo chini:
View attachment 3039350
Upo ushahidi mwingi lakini tuanze na huu.
Nipe jibu kwa nini shule hii haijavamiwa usiku wa manane na DC na Kamati ya Usalama?
Sasa hivi wameingia DRC wameanzisha kikundi kinachoitwa Aliance for Democratic Forces😆 Uisilamu na Democracy wapi na wapi?!Thubutuu!!!
Jichanganye waondoke na kichwa.
Huyo mwinyi wako wengine wanaona hakuwa kiongozi mzuri na ndiye aliyeua uchumi wa Tanzania. Anyways, hilo siyo hoja hapa. Hoja ni kujua wanafundishwa nini basi. Halafu mengine ndiyo yafuate.Hiyo ni sawa na boarding tu,Cha ajabu nini!?..wamekua wakifanya hivyo tangu ikulu ni madrasa,wakilala palepale ocean road,mzee mwinyi alipopelekwa Zanzibar kusoma alipelekwa kwenye shule Kama hizo!..na akaja kuwa rais asiyewatia dhiki watu aliowaongoza Wala kuwazuwia kutoa maoni
Yanaweza yasiwe mafundisho ya ugaidi lakini vijana 96 wa kiume kulala pamoja Msikitini mwaka mzima badala ya kulala bwenini huku wakilipiwa ada na wazazi wao si sawa.Babuu,
Unajitia hofu isiyokuwa na sababu.
Waislam wamefanya makubwa katika nchi hii.
Soma historia yao.
Soma historia ya Mtwa Abdallah Mkwawa, Abushiri bin Salim, Hassan Omari Makunganya, Khadija Mkomanile, Abdulrauf Songea Mbano, Kleist Abdallah Sykes na mwanae Abdulwahid Abdallah Kleist, Hamza Mwapachu, Sheikh Hassan bin Ameir, Sheikh Suleiman Takadir, Sheikh Haidar Mwinyimvua kwa kuwataja wachache.
Soma historia za watu hawa utawajua Waislam na mafunzo yao na alama walizoacha.
View attachment 3039388
Hata leo dada sijui mdogo wako akiwa rais?Lup...
Unajua kuwa Makanisa yanapokea ruzuku ya mabilioni kutoka serikalini na Waislam hawana firsa kama hiyo?
Wanaweza kusafirishwa kimya kimya kupelekwa Somalia kwa njia za Majahazi usiku wa manane ili kwenda kupewa mafunzo ya Kigaidi halafu kurejeshwa kimya kimya.Vijana 96 wa kiume kulala pamoja Msikitini mwaka mzima badala ya kulala bwenini huku wakilipiwa ada na wazazi wao ni sawa.
JK aliwaambia hakuna aliyewazuia kufuata fursa kama za makanisa, sasa kama hamkutengeneza utaratibu, hilo sio kosa la makanisa, ni jambo lililo wazi kwa wote. Ila mzunguko huu ni wa siriLup...
Unajua kuwa Makanisa yanapokea ruzuku ya mabilioni kutoka serikalini na Waislam hawana firsa kama hiyo?
Kama watapelekwa sehemu nyingine atajua?Katoa muda mpaka Jumamosi. Wasiokuwa na nauli atawapatia.
Kufeli shule ya msingi siku hizi ni kutaka kwako mwenyewe. Nina waiswasi kama ninkweli hao wote wamefeli.Watanzania wengi hatuko huru kwenye vichwa vyetu na mara nyingi sana fikra zetu zimefungwa either kwa ushabiki au kwa kuwa na uelewa mdogo.
Mohamed Said hapo juu amegusia jambo fulani nyeti sana ambalo watanzania wote kuna mahala tunapaswa kuwa serious nalo saana.
Shule za Serikali za msingi kawaida kwa kiasi kikubwa ndio zinazoandikiasha wanafunzi wengi sana wa kiislam na wengi sana ndio huhitimu shule hizi elimu ya msingi, kutokana na umasikini kwenye jamii kubwa ya waislamu, vijana hawa wengi huishia darasa la saba na kukosa uelekeo na hujikuta hawana namna zaidi ya kutafuta uelekeo kwenye mafundisho ya dini ambayo kwao hayana gharama zozote.
Tunapotaka kupambana na issue ya za kigaidi kwa kuamini wahusika ni vijana wa kiislam basi hatuna budi pia kuchimba mzizi wa tatizo, kama hawa vijana huachwa wakizagaa baada ya kuhitimu shule za msingi na wengi wao ndio hao waislamu hatuoni kama itakuwa rahisi kutegeka na kuingia kwenye makundi haya?
Makanisa yameacha kupokea sadaka kutoka kwa waumini wao na badala yake inapokea kutoka Serikalini?Lup...
Unajua kuwa Makanisa yanapokea ruzuku ya mabilioni kutoka serikalini na Waislam hawana firsa kama hiyo?
Kufeli shule ya msingi siku hizi ni kutaka kwako mwenyewe. Nina waiswasi kama ninkweli hao wote wamefeli.