mzee wa nje ya boxHata makofi yalipozidi ndipo mfalme akanyoosha mikono yake ili kulewa sifa kuu alizoimbiwa na vijakazi.Ndipo vijakazi wakasema uhimidiwe ee mfalme maana moto wako ni moto wa nehemia maana sura zenu zafanana.Waraka wa kigwalagwala kwa wanakizota 1kig,3-5.
MamboBasi sawa
Bwana yule akajibu na kusema, mimi sintaongeza dinari yoyote, enendeni katika masinagogi yenu mkatafute dinari. Maana nyie ni wanafunzi wavivu mwataka kuvuna msichopanda.Basi bwana akaenda madhabahuni,wanafunzi wake wakimwambia,bwana tunanjaa,bwana akatabasamu kisha akawaambia "kila mtu apambane na hali yake"wanafunzi wakamuuliza.bwana!unamaana gani?bwana akajibu.........
.
MAKUHANI NA WAZEE WA SIKU HIZI BWANA!! HII NJAA MBAYA! TUTAONA MENGI!!"Enyi wana wa nchi ya makinikia,sitamuondoa mkuu wa mji wa bandari salama hata kama haijui 'a',yeye ni mmoja wao wachapakazi na wengine waige mfano wake.Baada ya kusema hayo Bashite akatabasamu na kujipiga piga kifuani akisema;na uhimidiwe kuhani mkuu,kwa maana itaandikwa ukae miaka 7 au zaidi ikikupendeza."
[waraka wa Polepole kwa wanalumumba 2:2-9]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu inatoka katika kitabu gani?Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Baas wanafunzi wake wakamfuata na kumuuliza: ee baba, mbona hatukuwaacha waliotukuka kama huyu mwanao wakati wa uhakiki? Naye akajibu, amin nawaambia, sijaja kutafuta mchumba.
Subiri bado kwani umeona nini? tuombe aendelee kutumia akili ya nyumbani na siyo ya majukwaani; tutaona mengiIle kauli ya eti dunia siyo ya Mungu imeniacha hoi,
Nimejiuliza mengi sana
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Bwana yule akajibu na kusema, mimi sintaongeza dinari yoyote, enendeni katika masinagogi yenu mkatafute dinari. Maana nyie ni wanafunzi wavivu mwataka kuvuna msichopanda.
Misemo kutokana na Vichwa vya TreniHivi ule uzi mwingine kama huu ulifutwaga au??