Tozonia
JF-Expert Member
- Jun 18, 2013
- 689
- 734
Au km vip acha bwai iwe bwai haribu, kamata mama piga na isirudi chenji af tambaa na gap.😀😀😀😀😀 mkuu acha tu yaani mshkaji ananifunga na bao la Maradona hivihivi.😡
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au km vip acha bwai iwe bwai haribu, kamata mama piga na isirudi chenji af tambaa na gap.😀😀😀😀😀 mkuu acha tu yaani mshkaji ananifunga na bao la Maradona hivihivi.😡
Hili lijamaa kwao kuna uganga limeshapigwa sana na mambo hayo lakini linapona sijui lina ufreemasonHuyo jamaa yako niwakununuliwa busha ili apate darasa kidogo maana anaharibu hisia za mabinti wawatu...
Mfyuuuuuuuuu kiboro dinda huyoo
Alipo nionesha picha na mimi kushtuka alitaka kujua kwanini nimeshtuka?? Halafu hajui kama mimi na jamaa kuwa washkaji mbaya zaidi leo kaweka picha ya jamaa kwenye whatsapp yake.Mwambie ukweli, au Mwambie asimwamini Huyo firauni mwenzio asubiri ndoa kabisa ili Jamaa achoke kusubiri
Bwai haiwezi kuwa mbwai manake na mimi kuna mitego yangu huyu firauni akijua mimi ndie niliemwaga ugali na yeye si atamwaga mboga😕🙁Au km vip acha bwai iwe bwai haribu, kamata mama piga na isirudi chenji af tambaa na gap.
Best luck mkuu[emoji12]Duh maneno kuntu haya, inawezekana hata na mimi nikajipatia this time kilaini🙂
Maneno mazima haya. sasa nifanye nini?? niokowe jahaziWote acheni kumfanyia dada wawatu mchezo huo...
Kucheza na hisia za mtu si vizuri na ndio nyie mnasababisha wengine wakate tamaa kupenda...
Usilopenda kutendewa usimtendee mwingine
Kwahio umetoa okay ya kumfanyia ujangili mdada mwenzio??😕Best luck mkuu[emoji12]
😀😀😀😀😀 angelita acha hio dada mwenzio atalazwa kama Faru johnWacha mwenzio amgegede wewe si umelala subiri uamke.
Neno langu sio sheria mkuuKwahio umetoa okay ya kumfanyia ujangili mdada mwenzio??😕
Siku wewe na huyo jamaa yako mtakapokuwa mmpenda kweli na mnahitaji kuoa ndipo mtakapoanza kupokea malipo ya kazi yenu. Mtaumizwa na wanawake kama nyie mnavyowaumiza saa hizi. Na atakayejitolea umuoe ujue lazima akuumize ndani ya ndoa. Kama mna dada zenu nao wataumizwa vile vile.Bwai haiwezi kuwa mbwai manake na mimi kuna mitego yangu huyu firauni akijua mimi ndie niliemwaga ugali na yeye si atamwaga mboga😕🙁
Mweleze bayana huyo dada, wewe na jamaa yako mbadilike piaManeno mazima haya. sasa nifanye nini?? niokowe jahazi
Yaani ex wako, halafu bado ni bikra?!Kwahio niache jamaa ambikiri??
Ukiangalia unavotoa Mali kwa tamaduni za kiafrika wanaitwa wazee wanabariki aisee hiyo laaana haitamuacha abadani kwa maana tayari anawafungia riziki wale wadada hawawezi kutolewa Mali tena familia zinaimani muoaji atakuja tena kumchukua binti yako.Malipo n hapa hapa dunian jinsi unavyofedhesha moyo na familia ya m2 vivyo hvyo utalipwa tena Mungu analipaga na nyongeza..
Mkuu sio itakuja kutokezea kwakweli ishanitokezea kwa wadada 3 halafu hawa wawili wao inaniuma mpaka leo. Yaani nishawalamba mpaka miguu niwaowe basi huyayuka dakika za mwisho sijui kwanini. Huyu mmoja mwaka jana nilitaka kumpelekea posa usiku kama leo tunaongea poa asubuhi yake tumegombana mpaka leo tupotupo tu aahh inauma kwakweli🙁Siku wewe na huyo jamaa yako mtakapokuwa mmpenda kweli na mnahitaji kuoa ndipo mtakapoanza kupokea malipo ya kazi yenu. Mtaumizwa na wanawake kama nyie mnavyowaumiza saa hizi. Na atakayejitolea umuoe ujue lazima akuumize ndani ya ndoa. Kama mna dada zenu nao wataumizwa vile vile.
Jifanyeni wajanja saa hizi!!
Ngoja nimtumie ujumbe hapa kama tuonane kesho asubuhi ikifika. hakuna namnaMweleze bayana huyo dada, wewe na jamaa yako mbadilike pia
Ex-wangu wa shule mkuu hajataka kunipa papuchi mpaka mume mtarajiwa baadhi ya vilima hata gari hukwama.Yaani ex wako, halafu bado ni bikra?!
Am I missing something here?