Kishalipia mahari wachumba watano lakini hakuna aliemuoa.

Kishalipia mahari wachumba watano lakini hakuna aliemuoa.

Alipo nionesha picha na mimi kushtuka alitaka kujua kwanini nimeshtuka?? Halafu hajui kama mimi na jamaa kuwa washkaji mbaya zaidi leo kaweka picha ya jamaa kwenye whatsapp yake.
Mwambie ukweli, Kama Jamaa yako ana maradhi atamuua dada wa watu aliyejitunza na adhabu ya jamaa utashea maana ulikuwa na nafasi ya kumuokoa Huyo mdada Lkn Unataka kuonekana mwema Kwa Huyo firauni ambaye hakupeleki popote na anaweza kuja kukugongea watu wako wa karibu.
 
Nimeshapata Teknik mpya ya kuwagegeda,
nadhani hii ndio ntaanza nayo mwaka 2017
😀😀😀😀 Stunter hii kitu nataka kuacha kabisa bro nataka kuowa kikweli lakini naona kama kuna damu ya mikosi inanifuata.
 
Atakwambia una wivu unataka kumuharibia harusi yake ili umbikiri wewe. Sijui kama hatamwambia best wako na hivyo kuharibu urafiki wenu. Kila la heri Mkuu. Usisahau mrejesho vyovyote utakavyoamua.

Ngoja nimtumie ujumbe hapa kama tuonane kesho asubuhi ikifika. hakuna namna
 
Heee, jamani kumbe matapeli Wa mapenz wameamua kusomea degree hapo ukimwambia huyo Dada hawez kuamin atajua unamwaribia tu mana had MTU kutoa mahar na wamepanga na harus na send off, ila mfano ukimwambia huyo Mdada unahis atakukubali ww na huyo jamaa yako mzima kweli, daaa aisee kuna wanaume kiboko, ila IPO cku atakutana kisima cha mpingo hapo ndio ataacha huo mchezo
 
Wote acheni kumfanyia dada wawatu mchezo huo...

Kucheza na hisia za mtu si vizuri na ndio nyie mnasababisha wengine wakate tamaa kupenda...

Usilopenda kutendewa usimtendee mwingine[/QUOTkweli kabisaa
 
malipo ni dunian mbinguni ni taji tu atakipata anachokitafuta hyo kaka poleyake huyo dada
 
Back
Top Bottom