Kishalipia mahari wachumba watano lakini hakuna aliemuoa.

Kishalipia mahari wachumba watano lakini hakuna aliemuoa.

Hiyo hata siyo tabia nzuri. Haoni hata aibu mwanaume mzima , sasa akishawapewa hizo papuchi anapata nini hasa.

Ipo siku huyo rafiki yako atapata wajanja wenzake na ndio itakuwa mwisho wa hiyo tabia.

Kama huyo ex wako kiubinadamu ni bora ukamwambia ili ajue mapema na kama wa kufanya maamuzi ayafanye kabisa.
 
fanya yako mkuu, acha mchiz awagegede maana hawa viumbe bila kuwadanganya huoni ndani
Hahahahahahaaa eti KUONA NDANI dah umenikumbusha mbal sana jamaa angu flan wa Pande za mbeya alikua anapenda sana kulitumia hilo neno.

HAKUNA NAMNA AMWACHE JAMAA ASUZE RUNGU.
 
Salamu wana jf.
Kwakweli hii tabia ya rafiki yangu imekuwa sasa kama maradhi kwake, huyu rafiki yangu ana mke tatizo lake kubwa hutongoza wanawake na kutangaza ndoa. Sasa kuna wanawake kama watano hawa hawajataka kutoa papuchi mpaka wafunge ndoa. Huyu rafiki yangu hutangaza ndoa na kulipia mpaka mahari, hapo ndipo anapo wapata hawa wanawake kuona ndio mume mtarajiwa. Nao ndio humwachia kucheza mechi kwenye uwanja wao wa taifa, tatizo akisha wavua pichu jamaa uchumba ndio umekwisha na hela ya uchumba huisamehe pia. Sababu ya kuleta hii stori hii tabia ya rafiki yangu na mimi sasa naona naanza kuifata, na kwakweli naona sio tabia nzuri. Isipokuwa mimi sitoi mahari hujitambulisha kwa wazee wa mwanamke nikishapewa tunda nasepa. Sasa wiki iliopita kuna ex-wangu mmoja shuleni tulisoma pamoja niliachana nae kutokana huyu mdada yupo bikra bado, na alikataa katakata kutoa tunda mpaka mume atakae muowa ndio anamuachia hilo tunda. katika maongezi yetu nikamuuliza kama kishaolewa ndipo akasema kapata mchumba na kishatowa mahari na harusi kupangwa mwezi wa tatu mwakani 2017. Huyu ex-wangu akatoa cellphone yake na kunionesha mchumba wake, nikiwa naiangalia picha ya huyo mchumba nilipigwa na butwaa na ilinitoka heee😱. Ilikuwa picha ya yule Firauni rafiki yangu mtoa posa na husepa, sasa wakuu nashindwa nianzaje kumueleza huyu ex-wangu kuwa jamaa mgegedaji tu na sio muoaji. Lakini nimemuuliza huyu msela wangu anasema kwenye wiki mbili hizi ana suka mipango ya kumgegeda na ikifika February anasepa. Nifanye nini kumuokoa huyu mdada kutoka kwa hili lishetani😡
Kumbuka kila ufanyalo lina implications zake, mwambie na mwenzio atajajutia tabia zake
 
Mwambie jamaa yako kuna kipengele katika sheria ya ndoa kinazungumzia juu ya "madai ya kuvunja ahadi ya ndoa" hao wadada siku wakiwa na morality ya kufungua kesi atadai na kusugua lami kwenda mahakamani mpaka akome. Ubaya zaidi analipa hadi mahali anajitengenezea ushahidi vizuri wa kumbana
 
Huyo jamaa namjua vizur.. Ni mjinga sana.. Mwanza aliwahi kutoa sehemu tatu ndani ya mwezi mmoja.. Ngoja nicheki na huyo mbibie ntaleta mrejesho..
 
Back
Top Bottom