Mwambie ukweli, Kama Jamaa yako ana maradhi atamuua dada wa watu aliyejitunza na adhabu ya jamaa utashea maana ulikuwa na nafasi ya kumuokoa Huyo mdada Lkn Unataka kuonekana mwema Kwa Huyo firauni ambaye hakupeleki popote na anaweza kuja kukugongea watu wako wa karibu.Alipo nionesha picha na mimi kushtuka alitaka kujua kwanini nimeshtuka?? Halafu hajui kama mimi na jamaa kuwa washkaji mbaya zaidi leo kaweka picha ya jamaa kwenye whatsapp yake.
ππππ Stunter hii kitu nataka kuacha kabisa bro nataka kuowa kikweli lakini naona kama kuna damu ya mikosi inanifuata.Nimeshapata Teknik mpya ya kuwagegeda,
nadhani hii ndio ntaanza nayo mwaka 2017
Usisahau mrejeshoNgoja nimtumie ujumbe hapa kama tuonane kesho asubuhi ikifika. hakuna namna
Halafu unajua najiona kama bwege fulani,ππ‘ Hapa nafikiria kubadili gia anganiwewe si ulishindwa toka kitambo Mkuu sasa mwachie jamaa afanye yake
Kwan huwa unawabaka? Kama wanatoa kwa hiari yao iweje useme anawaharibiaHuyo jamaa yako niwakununuliwa busha ili apate darasa kidogo maana anaharibu hisia za mabinti wawatu...
Mfyuuuuuuuuu kiboro dinda huyoo
Njoo nikupe dada angu, lakini uache ubitozi kwanzaππππ Stunter hii kitu nataka kuacha kabisa bro nataka kuowa kikweli lakini naona kama kuna damu ya mikosi inanifuata.
nirushie kapicha PM usije niuzia njiwa alie angani hata sura siioniπππNjoo nikupe dada angu, lakini uache ubitozi kwanza
Mbona upo resi sana mwana?nirushie kapicha PM usije niuzia njiwa alie angani hata sura siioniπππ
Ngoja nimtumie ujumbe hapa kama tuonane kesho asubuhi ikifika. hakuna namna
MhBasi nyamaza
Kutolewa bikra sio kifo
Unless huyo jamaa ako ana 'ngoma'
Wote acheni kumfanyia dada wawatu mchezo huo...
Kucheza na hisia za mtu si vizuri na ndio nyie mnasababisha wengine wakate tamaa kupenda...
Usilopenda kutendewa usimtendee mwingine[/QUOTkweli kabisaa