Kishalipia mahari wachumba watano lakini hakuna aliemuoa.

Naanza kuuona mwisho wake huyo rafik yako. Wanawake wa siku hizi acha tu ipo siku Watamgegeda yeye. Atapelekwa kwa wazazi wa uongo huko ataliwa kiboga
 
muweke na akiba ,maana ubaya mnaoufanya leo ni deni mnalojikuopesha wenyewe ,na mtaja kulipwa ,
na watakao lipa ni vizazi vyenu maana watafanyiwa kama nyinyi mnavyowafanyia vizazi vya wenzenu
 
Jamaa umeandika kwa hisia sana na pengine umefanya hivyo kwa kuwa unampenda huyo dada na pia kwa kuwa wewe uliambulia patupu. Na mbaya kilichokufanya uandike hapa ni wivu na baada yakuona jamaa anakula kitu kiulaini, sasa ushauri wangu kamwambie huyo jamaa yako tabia yake sio nzuri na baadae umwambie kuhusu huyo binti ulitaka kumla na sasa bora mkose wote maana utamwaga mboga, baadae ndiyo ukamweleze huyo bi dada na ushauri mwinigine wakati unamweleza bi dada uwe na ushahidi wa mambo ya jamaa vingine hautaeleweka kabisa kwake. Kumbuka mahari imeishatolewa. ILA SHETANI JAMANI ANA MAGENT WENGI HAPA DUNIANI. Huyo jamaa hizo pesa si afanye maendeleo ya familia yake lakini
 
Huwez jua huenda jamaa anawalipia maden dada zake nao walichezewa dizain hyo!
 
Dah watu mnambinu kuipigania zinaaa....nyie ndio mnatuharibia wenye nia njema....tizama hadi mm naonekana kama ninyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…