Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Subpost 1 - Instagram media - CD55Z25J2fZ ( 496 X 640 ).jpg


Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa, huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia.

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chochote cha Arusha.

Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chichote cha Arusha...
Mkuu Arusha hukupata taarifa ipi? Mbona yote iliwekwa wazi? Kuanzia mapokezi?
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia...
Tunashukuru kwa Taarifa.Kwa vile umeshawasili huko Molemo Media itakuachia tukio lote kuuhabarisha umma
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chichote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
Hukufuatilia
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chichote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
[/QUOT
Ulikuwa unasubiria channel gani hiyo hukuona au ulikuwa TBC na ITV mkuu?mpango mzima ni WhatsApp tuma namba nikuunge
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Maalim seif huyo abaki kwenu hukoo
 
  • Thanks
Reactions: VSM
Mkuu Arusha hukupata taarifa ipi? Mbona yote iliwekwa wazi? Kuanzia mapokezi?
Uzi ulitoweka ghafla kwenye radar zangu, nikaishia kujiuliza tu nini kimetokea, maana nasubiria kuona uodates za Arusha nikashangaa zinaingia za Hai.
Ngoja niutafute tena
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Kwani nguchiro alitengenezwa na Mungu yupi?
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Saa 7 ni asubuhi??
Hapa kuna mtu kanaswa na kuchanganya saa za kiswahili na kingereza. Hata mimi lilinipita nili assume ni 07.00 hrs, wasipofanya marejeo kutakua na mkanganyiko.
 
Mapokezi atakayopata Lissu huko Zanzibar ni kitu cha kuangalia sana kwani hiyo ni ngome ya ACT (ex-CUF Maalim), yakiwa mazuri yata ashiria Lissu kumpiku Membe, kumbuka Lissu ameongelea mambo ya Zanzibar kwa msimamo wake toka wakati wa Bunge la Katiba wakati Membe akiwa na Kikwete wakipinga serikali 3. Ngoja tuone.
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chichote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
Hadi sasa Lissu amewavuta malaki kwa safari zake, ni muhimu kuwafufua watu waliokuwa wamekata tamaa kwasababu ya ubabe wa serikali, kwa kuwa hatakwenda mikoa yote ni sawa tu kugusa hapa na pale kujua hali ilivyo na kuwahamasisha wanachama.
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chichote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
Lisu Arusha akipata mapokezi kiduchu sana! Huwezi amini kama kule ndio kitovu cha upinzani hasa chadema
 
Mapokezi atakayopata Lissu huko Zanzibar ni kitu cha kuangalia sana kwani hiyo ni ngome ya ACT (ex-CUF Maalim), yakiwa mazuri yata ashiria Lissu kumpiku Membe, kumbuka Lissu ameongelea mambo ya Zanzibar kwa msimamo wake toka wakati wa Bunge la Katiba wakati Membe akiwa na Kikwete wakipinga serikali 3. Ngoja tuone.

Tafuta hotuba ya TL ktk mkutano wa ACt ndio utajua msimamo wake...

Acha akawaamshe wazenj..
 
Back
Top Bottom