Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Kama vile Hai ilivyo kua [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ana bahat alienda na Mabasi ya watu walio mshindikiza angekua peke yake angepata bonge LA aibu
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Huh,
Hongera zake.
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chochote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
Umeumia eeeeh? Mwaka huu na babu sura kama ugoko mpaka mjambe cheche!
 
Mara nyingi tunakosa umakini katika kuwaza, kunena na/au kuandika. Ni vema tuwasahihishe waandike saa 7 mchana au adhuhuri. Busara iwaongoze kukiri hadharani kufanya makosa ya kiuandishi, kuomba radhi na kurekebisha mara moja. Katika hali ya ushindani mkubwa kosa dogo laweza kugharimu goli!
Saa 7 ni asubuhi??
 
Zanzibar na Chadema Wapi na Wapi.....CUF imekufa Wameamka Na ACT....endeleeni tu kuwakilishwa na Salum Mwalimu Pande Hizooo......

Ushawishi Wenu TU Mdogo Huku Bara..Leo Ijekuwa Zenji ????

Oktoba Itakuwa Ngumu Sana Kwenu Wazee WA TAMTHILIA na VISINGIZIO Kibwena....

Naendelea KUFIKIRI Yaani Mwizi Aende Akatukio HALAFU AANGUSHE KITAMBULISHO CHAKE......?!!!!!!!!!

Setup ya KISIASA mlioipiga Pale HAI Ni ya kiwango kikubwa........wazee Wa MATUKIO NA VISINGIZIO...
 
ITAPENDEZA KAMA BANGO LITAANDIKWA SAA 07:00 MCHANA AU ADHUHURI KAMA WALIAZIMIA KUANDIKA KWA KISWAHILI
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
See 7:Asubuhi. Chadema hamko serious au kuna hujuma. Ndiyo maana nasema CCM ni makini
 
"Nitapiga Mashangazi wenu" J.P Magufuli katika ziara zake za kuzulumuKorosho huko mikoa ya Kusini
 
Shambulizi la ofisi liliharibu kila kitu
Thats not the reason niliexpect many people wangeenda kuangalia na hilo la ofisi ila kwakweli ni watu wachache sana wale mostly toyo ndo zilikuwa nyomi...
Miaka ya nyuma any event ya chadema hata mkutano wa lema tu mwenyewe watu walikuwa wanatoka sehemu mbalimbali wanaenda kwa wingi sana.. na hii ni dalili mbaya kwa lema tuongee ukweli sio ushabiki i was born in arusha na im still dwelling down here pia..
Mwamba anachuja kwa spidi sana.. yani ule mvuto unapungua
 
Zanzibar na Chadema Wapi na Wapi.....CUF imekufa Wameamka Na ACT....endeleeni tu kuwakilishwa na Salum Mwalimu Pande Hizooo......

Ushawishi Wenu TU Mdogo Huku Bara..Leo Ijekuwa Zenji ????

Oktoba Itakuwa Ngumu Sana Kwenu Wazee WA TAMTHILIA na VISINGIZIO Kibwena....

Naendelea KUFIKIRI Yaani Mwizi Aende Akatukio HALAFU AANGUSHE KITAMBULISHO CHAKE......?!!!!!!!!!

Setup ya KISIASA mlioipiga Pale HAI Ni ya kiwango kikubwa........wazee Wa MATUKIO NA VISINGIZIO...
Ndugu zangu tuungane ili kuutokomeza huu utawala wa mkono wa chuma, hizo elfu saba saba mnazolipwa ili kujenga taswira ya mkulu kukubalika ni kwaajili ya njaa ya muda mfupi tu. Mwalimu Nyerere aliwaita viongozi wa namna hii washenzi na wendawazimu, hebu tumuheshimu na kumuenzi Mwalimu kwa kuachana na watawala wanaotumia mabavu badala ya hekima na busara.

Tusihadaike na utapeli na ulaghai mpya wa CCM, Saa ya ukombozi ni sasa
 
Zanzibar na Chadema Wapi na Wapi.....CUF imekufa Wameamka Na ACT....endeleeni tu kuwakilishwa na Salum Mwalimu Pande Hizooo......

Ushawishi Wenu TU Mdogo Huku Bara..Leo Ijekuwa Zenji ????

Oktoba Itakuwa Ngumu Sana Kwenu Wazee WA TAMTHILIA na VISINGIZIO Kibwena....

Naendelea KUFIKIRI Yaani Mwizi Aende Akatukio HALAFU AANGUSHE KITAMBULISHO CHAKE......?!!!!!!!!!

Setup ya KISIASA mlioipiga Pale HAI Ni ya kiwango kikubwa........wazee Wa MATUKIO NA VISINGIZIO...
Hapa unalia au unalalamika ?
 
Ndugu zangu tuungane ili kuutokomeza huu utawala wa mkono wa chuma, hizo elfu saba saba mnazolipwa ili kujenga taswira ya mkulu kukubalika ni kwaajili ya njaa ya muda mfupi tu. Mwalimu Nyerere aliwaita viongozi wa namna hii washenzi na wendawazimu, hebu tumuheshimu na kumuenzi Mwalimu kwa kuachana na watawala wanaotumia mabavu badala ya hekima na busara.

Tusihadaike na utapeli na ulaghai mpya wa CCM, Saa ya ukombozi ni sasa
Maneno Kuntu !
 
We umeona hapo tu!
Na wewe nimeona wapi? Very serious typing error ambayo itapoteza wafuasi wenu. Ninaamini mtakuwa mmeshabadilisha. Hapo haieleweki ni saa 1 asubuhi au saa 7 mchana maana lugha ya tangazo lenu ni Kiswahili. Ninaamini ni hujuma siyo siri. Huko Chadema kuna watu wenu hawataki Lisu kama Lema na kambi yake. Ndiyo maana hata uratibu wa mapokezi yenu Arusha ulikuwa wa Baridi. Tutawashindeni asubuhi na mapema maana nyie umoja namna.
 
Na wewe nimeona wapi? Very serious typing error ambayo itapoteza wafuasi wenu. Ninaamini mtakuwa mmeshabadilisha. Hapo haieleweki ni saa 1 asubuhi au saa 7 mchana maana lugha ya tangazo lenu ni Kiswahili. Ninaamini ni hujuma siyo siri. Huko Chadema kuna watu wenu hawataki Lisu kama Lema na kambi yake. Ndiyo maana hata uratibu wa mapokezi yenu Arusha ulikuwa wa Baridi. Tutawashindeni asubuhi na mapema maana nyie umoja namna.

Kwa kuzingatia neno asubuhi, wewe utaamua kwenda saa 1 au saa 7? Basi tufanye wewe huamini kwenye makosa!
 
Back
Top Bottom