Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Tunasubiri kuona. Hongera Molemo media. Wanaobeza mapokezi ya Arusha wamekabwa na donge la wivu kooni.
Kuna watu humu hatuna sides... Ila tutasema the real thing .. mimi nimezaliwa chuga and im still living here...
Miaka ya nyuma event za chadema watu walikuwa wanajitokeza kwa wingi sana nilitegemea shughuli kusimama jana lakin haikuwa hvyo muitikio ulikuwa mdogo mno... Ni dalili mbaya u have a task to do kumtafutia kura mgomvea wenu... Sio huku social media tuu na mostly jf...
Ingia fb hata kwenye page ya mnyika au lema watu wanaponda kinyama
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Ahahahahahahahaha! Hayo ni maandalizi ya kumuaibisha Mgombea Mwenza Salumu Mwalimu. Mtu aliyekataliwa ubunge 2015 kwa fedheha licha ya kubebwa na CUF, leo eti Mgombea Mwenza? Ahahahahahahahah!!!
 
Kwa kweli Lissu na Chadema watashinda sana kwenye mitandao ila siyo kwenye uchaguzi. Jiandaeni kisaikolojia hasa Lissu maana anaweza akapata degedege akashindwa kabisa kutembea baada ya matokeo kutangazwa huku akiwa amembulia asilimia 20% ya kura zote.
Kama babayenu atakavyoambulia 12% atakufa hapohapo maana lissu atamshughulikia kikamilifu
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chochote cha Arusha.
Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .
Namfananisha Lisu na mcheza mieleka King Puka,
 
Nyuzi zangu zinahamishwa sijui zinaenda wapi enyi mods achen kuwa kama miungu watu au jamaa
 
Siasa haziko rahisi hivyo Kama unsvyofikiri mkuu, Mpiga kura jina la mgombea wa kumpiga kura anatembea nalo mfukoni. Hata km anajua wewe hatakupigia kura lakini popote ukimualika ataenda.

Infact mpoga kura za uchaguzi mkuu Ni sawa na wajumbe tu
 
Lisu huwa anaigiza kuyafahamu matatizo ya Wazanzibari kuliko wenyewe wanavyoyafahamu.
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
unandika hivi kwa hisia zako au?
 
Mapokezi atakayopata Lissu huko Zanzibar ni kitu cha kuangalia sana kwani hiyo ni ngome ya ACT (ex-CUF Maalim), yakiwa mazuri yata ashiria Lissu kumpiku Membe, kumbuka Lissu ameongelea mambo ya Zanzibar kwa msimamo wake toka wakati wa Bunge la Katiba wakati Membe akiwa na Kikwete wakipinga serikali 3. Ngoja tuone.
nimeipenda sana hiyooooo EX-CUF akiweza kuitoka hiyo kwel apo tunasema kakubalika lakini tofauti na hapo nikujipa moyo.
 
Lisu Arusha akipata mapokezi kiduchu sana! Huwezi amini kama kule ndio kitovu cha upinzani hasa chadema
Hiyo inashiria watu kuwachoka CHADEMA na siasa za kikorofu
Huku wakitumia hisia saaaaana mpaka shiriza la HUMAN RIGHT liwaone huruma. Sahivi nikuja na hoja za akili na zenye logic ndani yake
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa , huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia .

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Mafsadi wa ccm wakiona posts za Lissu wanahisi uharisho unawashika, Lisu anafanya madikteta wa chato hawalali
 
Back
Top Bottom