Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Uchaguzi 2020 Kishindo cha Tundu Lissu chatikisa Zanzibar, Maandalizi ya ujio wake usipime

Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chochote cha Arusha.

Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .

Mimi ni shahidi, ilinigharimu 2 hours kujua mkutano wa Lissu unafanyikia wapi, na nilipokwisha kujua, natoka Job kwenda nafika nimechelewa, kwa kweli Arusha watu kibao hawakujua, na baada ya kujua hawajui ni wapi, na baada ya kujua ni wapi mda umeenda!

Lissu Arusha anakubalika kuliko chochote!
 
View attachment 1537878

Unajua kuna watu hawafahamu kwamba si rahisi kushindana na aliyejaaliwa, huyu Lissu baada ya Mungu kumfufua alimpangia kuwa Rais wa Tanzania 2020 , hili hakuna binadamu yeyote au kibwengo chochote kitakachozuia.

Mara kadhaa nimefika Zanzibar kisiasa na kibiashara lakini sijawahi kukuta pilika pilika za mapokezi kama nilizoziona wakati huu wa ujio wa Lissu , ama kwa hakika Mungu akikuwekea mkono wake hakuna nguchiro wa kuupangua .

Mungu ibariki Zanzibar
Yesu wa CCM anavyoumia roho sasa anatamani isiwe ilivyo lakini Mungu ndio kapanga.
 
Magufuli aliangukia pua Zanzibar kwenye urais 2015
Sio Kweli CCM kule wako kibao Chadema hamna kitu kule

Lowasa alipata kura za wapemba akina Seif Shariff Hamad na akina Duni Haji lakini pamoja na kuungana UKAWA na Chadema kuachiwa Jimbo moja hawakuambulia hata diwani Wala mjumbe wa nyumba kumi


Sasa hivi Chadema mumebaki wenyewe peke yenu Zanzibar Lisu anaenda kuuza tu sura kutafuta wadhamini taarifa za uhakika katoka nao Tanzania bara wapemba wanaokaa Tanzania bara ndio wameenda kumdhamini wakiwa wamebebwa kutangulizwa na Salum Mwalimu mgombea mwenza mkazi wa kinondoni

Zanzibar chadema hawana watu wanamtegemea Salum Mwalimu ndie awape watu .Wamewasili Zanzibar Jana tarehe 14 Ili Lisu Akifika tarehe 16 kesho wanpokee wasaini fomu Halafu warudi bara kitu ambacho Ni upotezaji pesa tu

Wangesaini tu wakiwa Tanzania bara tu shida yote ya Nini kupoteza nauli kwenda Zanzibar Wakati hai wanzanzibari wenyewe unao kinondoni Dar es salaam
 
La uwanja wa Uhuru limewacost shilingi ngapi Mataga? Hamna kabisa habari za huko. Hivi hawaoni aibu Lissu anavyokwenda bila kutumia hela wala nguvu wala vitisho? Jiwe ana hali ngumu sana. Kila kona nshale..
 
Nilisubiri sana mapokezi ya Arusha, tukaambiwa kuna Molemo media imetangulia pale tangu siku moja kabla, matokeo yake tukaishia kuona msafari ukiwa barabarani tu na masaa machache tukasikia mashambulizi pale Hai bila ya kusikia chochote cha Arusha.

Mimi ningewashauri muwe watulivu tu hata hizo form angepita kuzijaza kimya kimya tu .

Hukuona yule Nyani nani sijui kapost video ya Arusha?
 
Sio Kweli CCM kule wako kibao Chadema hamna kitu kule

Lowasa alipata kura za wapemba akina Seif Shariff Hamad na akina Duni Haji lakini pamoja na kuungana UKAWA na Chadema kuachiwa Jimbo moja hawakuambulia hata diwani Wala mjumbe wa nyumba kumi


Sasa hivi Chadema mumebaki wenyewe peke yenu Zanzibar Lisu anaenda kuuza tu sura kutafuta wadhamini taarifa za uhakika katoka nao Tanzania bara wapemba wanaokaa Tanzania bara ndio wameenda kumdhamini wakiwa wamebebwa kutangulizwa na Salum Mwalimu mgombea mwenza mkazi wa kinondoni

Zanzibar chadema hawana watu wanamtegemea Salum Mwalimu ndie awape watu .Wamewasili Zanzibar Jana tarehe 14 Ili Lisu Akifika tarehe 16 kesho wanpokee wasaini fomu Halafu warudi bara kitu ambacho Ni upotezaji pesa tu

Wangesaini tu wakiwa Tanzania bara tu shida yote ya Nini kupoteza nauli kwenda Zanzibar Wakati hai wanzanzibari wenyewe unao kinondoni Dar es salaam
Wewe utakuwa umelogwa
 
Vitu vidogo vinagharimu vitu vikubwa kama hujui ukweli huu. Mwenye busara huwa msikivu hata anapokosea na kukosolewa kwa vitu vidogo. Kifalsafa tunasema: "ukiwa makini katika vitu vidogo kunakufanya uwe makini zaidi katika vitu vikubwa"
wabongo mnahangaika na tuvitu vitu huku mambo makubwa hamyaoni !
 
La uwanja wa Uhuru limewacost shilingi ngapi Mataga? Hamna kabisa habari za huko. Hivi hawaoni aibu Lissu anavyokwenda bila kutumia hela wala nguvu wala vitisho? Jiwe ana hali ngumu sana. Kila kona nshale..
Amekwenda Bila hela? Gari anayotumia inatumia hewa sio.mafuta? Meli kapanda bure?
 
Kiburi Cha Lisu kupinga muungano atapata jibu toka kwa wazanzibari wa pande zote wa CCM na Upinzani

Wale huwa hawana unafiki ukisema hutaki muungano na unatoka bara ukipata kura Mia moja katoe sadaka hawakupi kura .Kuwa nenda kwenu bara huko huko

Lowasa alipoaingia UKAWA alipewa kura Zanzibar sababu hakuwahi tamka kupinga muungano wakampa kura

Ila Lisu ajiandae kwa aibu ya kufa mtu Zanzibar.Membe watampa sababu hajagusa hiyo issue.Wanzanzibari kwa hili nawasifu ukisema hutaki muungano wanalifanyia kazi Mara moja kuwa kwenye uchaguzi nenda kwenu bara wakakupe kura huko huko na sisi tutawapa wa kwetu huku huku
 
Kiburi Cha Lisu kupinga muungano atapata jibu toka kwa wazanzibari wa pande zote wa CCM na Upinzani

Wale huwa hawana unafiki ukisema hutaki muungano na unatoka bara ukipata kura Mia moja katoe sadaka hawakupi kura .Kuwa nenda kwenu bara huko huko

Lowasa alipoaingia UKAWA alipewa kura Zanzibar sababu hakuwahi tamka kupinga muungano wakampa kura

Ila Lisu ajiandae kwa aibu ya kufa mtu Zanzibar.Membe watampa sababu hajagusa hiyo issue.Wanzanzibari kwa hili nawasifu ukisema hutaki muungano wanalifanyia kazi Mara moja kuwa kwenye uchaguzi nenda kwenu bara wakakupe kura huko huko na sisi tutawapa wa kwetu huku huku


Bangi ya Chato inakuchengua ?? Mzanzibari gani anayeunga mkono Uvamizi ???
 
..nina wasiwasi kombora atakalolipua TL huko Zanzibar tume inaweza "kumdiskolofai."
 
Ziara hii inatusaidia sana sisi watu wa ccm,kila la heri ndugu lissu huko visiwani
 
Chadema, laiti mambo yenu mngeyafanya kimya kimya nadhani heshima yenu ingebaki standard sana. Lakini naona kama vile mnajishushia hadhi yenu..sorry lakini sio kwa ubaya.
Mwambie babayenu akusanye wasanii kama jina lao lilivyo kimya kimya na lissu akiapishwa tu wajiandae na mwaka huu hatudanganywi na hao wanengua viuno na wapiga mitama
 
Mwambie babayenu akusanye wasanii kama jina lao lilivyo kimya kimya na lissu akiapishwa tu wajiandae na mwaka huu hatudanganywi na hao wanengua viuno na wapiga mitama
Mnaangaika bure lakini kwakuwa hamtaki kuelewa ngoja tuwaache.
 
..nina wasiwasi kombora atakalolipua TL huko Zanzibar tume inaweza "kumdiskolofai."
Wasiwasi na hofu vya nini tena watu wakiambiwa 'ni yeye' mlikosea kumpitisha ktk level hiyo mnakua wakali.

Angalia wataalam wazoefu akina Maalim Seif na Prof Lipumba misafara yao inakwenda vizuri kwa sababu wanaongea siasa za kistaarabu na sio chuki ya kumwandama JPM kila sentensi itokayo mdomoni kwa 'ni yeye(

Tusisahau logic ya kuwa hata kama wewe na wafuasi wako hamumpendi mgombea mwenzako lakini na yeye an wafuasi wake miongoni mwa wananchi unaowahutubia na ana haki kama ulizonazo za kutotukanwa au kutosingiziwa mambo ya uongo. Mbona Maalim na Lipumba na wagombea wengine wanaweza ustaarabu au na wao hawajui kitu kama 'ni yeye'

Yale yaliyotokea Hai ya kupambana na wananchi yatatokea sana mikoa mingine especially wakati wa uchaguzi wenyewe na sababu itakuwa 'ni yeye' .

Now kwa ishu ya Zanzibar, akisema tu kuwa Zanzibar ni nchi huru blah blah blah na akishinda atashirikiana na Seif kuwarudishia nchi yao, hapo Tume itakuwa imepata sababu ya msingi ya kumkata.

Nadhani akina Mbowe na wenzake watamshaiuri vizuri 'ni yeye'
 
Back
Top Bottom