Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Ha ha haaaaaa.Acha uongo hii ni video ambapo wananchi wa Tanganyika walikuwa wana pokea majeshi ya tanzania kutoka kwny vita ya uganda mwaka 1979,hahahah.
Hiyo ni picha ya mwaka 1803 mkuu, wala isikutishe.Mafuriko yatafikia kikomo chake 28th Oct.
Acha kazi iendelee.
Haha sema mkuu wapinzani huwa wanajua kujifariji,Hiyo ni picha ya mwaka 1803 mkuu, wala isikutishe.
Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Huyu ndie tuliekuwa tunamsubiri atuvusheKwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Cheka sasa kama tunachekesha2015 Mzee alipigiwa barabara deki lakini hakushinda. Ndiyo ije kuwa Lisu. Mnachekesha
Unafahamu vipi haya ilihali kura hazijapigwa zikahesabiwa?Haha sema mkuu wapinzani huwa wanajua kujifariji,
Yaani huwezi amini mtu kama Lisu wanamwita Rais mteule , jamaa hana hata uhakika wa kura elfu moja.
Hapo ni Bunda mkuu. Musoma ilikuwa balaa!Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Nyie mlikuwa mnasema 2020 chadema itakuwa imeshakufa sasa naona mnabadili ubeti, bado vina na mshazali, wakwenu hivi yupo wp sku ya nne sasa haonekani uwanjani na ratiba inaonesha leo alitakiwa kuwa iringaMafuriko yatafikia kikomo chake 28th Oct.
Acha kazi iendelee.
Swali hilo hilo waulize na hao wanaomwita Rais, Rais Mteule wakati hata kura hazijapigwa.Unafahamu vipi haya ilihali kura hazijapigwa zikahesabiwa?
Kiu ya kumuona wanayemtaka anakuwa raisi ndo inawapa hiyo mihemko. Na ww una muhemko?Swali hilo hilo waulize na hao wanaomwita Rais, Rais Mteule wakati hata kura hazijapigwa.
Huku si ndiko kipindi fulani walipiga deki barabara?Kwa kweli Lissu anapendwa kwa dhati na watu. Musoma waridima kwa vifijo vikuu kumpokea Lissu.
Wamelegea na kutepeta kabisa!!Wamebaki kusema subiri 28 october. Wamekaukiwa kabisa maneno.