ighaghe
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,286
- 3,203
Wakurigenzi wana kazi kubwa na nzito.Kikao cha wakurugenzi na rais leo hayo ndio yalikuwa maagizo. Hata wapinzani wapate kura nyingi kiasi gani, hayo ndio matokeo yanayotakiwa na ccm.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakurigenzi wana kazi kubwa na nzito.Kikao cha wakurugenzi na rais leo hayo ndio yalikuwa maagizo. Hata wapinzani wapate kura nyingi kiasi gani, hayo ndio matokeo yanayotakiwa na ccm.
SawaHakuna shaka wala ubishi kuwa Lissu anapata nyomi, kwenye kampeni zake. Upande wa pili anawaacha yatima wagombea wa chama chake. Watabaki uchi wakipanda jukwaani kuomba kura kwa sababu ya kauli zake za chuki na uchonganishi, ambazo kimsingi UBINAFSI ndio umemtawala.
Kwa kauli zake katika kampeni, anakopita Lissu, anaacha masuala mazito yenye kuhitaji ufafanuzi. Ajue kwamba anawaachia wagombea Ubunge na Udiwani mtihani mkubwa wa kufafanua tuhuma anazomshushia Magufuli.
Anajua wazi hawezi kupata muda wa kupita kila Jimbo na Kata la uchaguzi kufafanua. Matokeo yake wagombea wa mpinzani wake (kwa kauli yake "ama zake ama za Magufuli") wanatumia uzushi wa tuhuma zake kuwaondoa ulingoni wagombea wake. Km anadai wajawazito wanatozwa kodi, ambao ni uongo. Je, mgombea wake atathubutu kutetea kauli hiyo? Anadai kitambulisho cha mjasiriamali ni kiini macho cha CCM wakati si kweli, je, wagombea wa CHAMA chake watathubutu kutetea kauli hiyo?
Tarehe 28/10/2020 Watanzania wataamua
Wacha kukaririSijui Watu wanasahau kwa haraka sana au pengine wengi walikuwa watoto sana 1995,2010 na 2015
baba yako alikuwa hawezi kuongea hata sentensi moja zaidi ya pipo pipoz pipoz pipoz sasa atashindana na mbeba maono2015 Mzee alipigiwa barabara deki lakini hakushinda. Ndiyo ije kuwa Lisu. Mnachekesha
Mwaka 1979 bendera za chadema zilikuepo?Acha uongo mkuu,hii ni video ambapo wananchi wa Tanganyika walikuwa wana pokea majeshi ya tanzania kutoka kwny vita ya uganda mwaka 1979.
Nina hamu uchaguzi ufanyike Leo hii
Maana mambo mengi hasa machafu ya awamu hii yalikuwa hayasemwiCCM wamepigwa butwaa, hawakutalajia UFUFUKO wa upinzani kiasi hiki. Kabla TL kuja watu walivunjika moyo alijua mwaka huu Ccm itateleza tu. TL is a real GAME CHANGER, sas wanateseka na hapo bado. Alichokifanya TL amewalisha waTanzania sumu ya urahia. Nchi Nzima sas hivi inajua kila kitu kuhus utawala hui wa miaka 5 iliyopita.aonevu ambayo hawakujua
Mkuu hii kawapiga chenga matagaMwaka 1979 bendera za chadema zilikuepo?
1995 - Watanzania walikua bado na hofu na makovu ya ukoloni, hivo walikuwa wakidanganywa kuwa Mrema angewarejesha wakoloni, na kwakua uwezo wa kuhoji na kujenga hoja haukuwepo hivo watu waliafiki, pia ikumbukwe Wasomi walikuwa wakutafuta na tochi hivo hapakuwa na wakumwelimisha mwenzie ukweli wa mambo halisi.
2010 - CCM wanaelewa sana kwanini Waliruhusu kuanza mchakato wa kupata katiba mpya, punch alizopigwa Kikwete na Dr. Slaa hazikuwa za nchi hii. Kikwete aliachwa mbali sana. Sema Chadema kwa wakat ule waliamini CCM wamejifunza na Wataplay fair next time.
2015 - Kuanzia Mbingu mpaka ardhi kila mtu anajua magufuli hakushinda, timu ya kuchakachua matokeo iliyokuwa masaki ikiongozwa na January, Nape na Kijana ndio iliyompa magufuli ushindi na siyo kura wananchi, baada tu ya Kutangazwa matokeo, haraka sana aliletwa TB Joshua.
2020 - Lissu siyo Lowassa wala Watanzania siyo wale wa 1995, sasa hiv wengi wanajua nini wanataka, na bahati nzuri wanajua kuhoji, nzuri zaidi kipindi hiki habari husambaa kwa kasi kwa uwepo wa mitandao.
#Tambua:
Mzaliwa wa 2002 kipindi hiki anapiga kura, huyu haijui CCM kiundani, Katika ukuaji wake ndipo Chadema nayo ilikuwa ikijijenga kutoka kuwa Mshindi wa 3 (2005) Uchaguzi mkuu mpaka kuwa Chama kikuu cha upinzani mwaka 2010, huyu anazijua siasa za upinzani siyo za CCM hivo tarajia vijana wengi sana kuchagua upinzani.
Whatever! this is 2020, leo siyo jana au juzi! ICC inamuita mtu, hakuna mchezo safari hii!
OvaAcha uongo mkuu,hii ni video ambapo wananchi wa Tanganyika walikuwa wana pokea majeshi ya tanzania kutoka kwny vita ya uganda mwaka 1979.
Aaaa wapi !CCM joto linazidi kupanda!
Kwahiyo kipindi hicho ili kua vyama vingi vimesha anzishwa maana kuna bendera zs chadema na sare za chadema paleAcha uongo mkuu,hii ni video ambapo wananchi wa Tanganyika walikuwa wana pokea majeshi ya tanzania kutoka kwny vita ya uganda mwaka 1979.
Wanajitoa ufahamu ili wajifariji ila ukweli wanaujua.Sijui Watu wanasahau kwa haraka sana au pengine wengi walikuwa watoto sana 1995,2010 na 2015
Endelea kujipa moyo MkuuSijui Watu wanasahau kwa haraka sana au pengine wengi walikuwa watoto sana 1995,2010 na 2015
@yohodaya . DuYule hehodaya sijui...analalamika kalipwa hela ya thread kumi tu mwei mzima wakati yeye alihesabu 100 threads...sasa hivi wanazihesabu..hehehe
Magufuli kasemaje kuhusu kitambulisho kwani,watu tunataka hela zetu maninaHakuna shaka wala ubishi kuwa Lissu anapata nyomi, kwenye kampeni zake. Upande wa pili anawaacha yatima wagombea wa chama chake. Watabaki uchi wakipanda jukwaani kuomba kura kwa sababu ya kauli zake za chuki na uchonganishi, ambazo kimsingi UBINAFSI ndio umemtawala.
Kwa kauli zake katika kampeni, anakopita Lissu, anaacha masuala mazito yenye kuhitaji ufafanuzi. Ajue kwamba anawaachia wagombea Ubunge na Udiwani mtihani mkubwa wa kufafanua tuhuma anazomshushia Magufuli.
Anajua wazi hawezi kupata muda wa kupita kila Jimbo na Kata la uchaguzi kufafanua. Matokeo yake wagombea wa mpinzani wake (kwa kauli yake "ama zake ama za Magufuli") wanatumia uzushi wa tuhuma zake kuwaondoa ulingoni wagombea wake. Km anadai wajawazito wanatozwa kodi, ambao ni uongo. Je, mgombea wake atathubutu kutetea kauli hiyo? Anadai kitambulisho cha mjasiriamali ni kiini macho cha CCM wakati si kweli, je, wagombea wa CHAMA chake watathubutu kutetea kauli hiyo?
Tarehe 28/10/2020 Watanzania wataamua