chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Sukuma gang waliojenga airport vichakani?Kumbuka sukuma gang ndo ilinisuru mkataba wa kifisadi ambao Jinga kubwa wa Bagamoyo aliusaini na hawa wavimba macho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sukuma gang waliojenga airport vichakani?Kumbuka sukuma gang ndo ilinisuru mkataba wa kifisadi ambao Jinga kubwa wa Bagamoyo aliusaini na hawa wavimba macho.
Ni order yanatakiwa yawe tayari ndani ya mwaka mmja.Muwe mnasikiliza sio kukurupuka kwa chuki zenu.Aya mabehewa wananua tuu sijui wataweka wapi. Hii ni story ya 3 kutoka kandarasi tatu nasikia ya mabehewa
Watanzania hamjifunzi? Una uhakika na ubora wa hayo mabehewae? Kwanini usijipe muda kabla ya kusifu na kupongeza?Hiyo ilani, mabehewa ya kisasa yanakuja, tunaenda kuteka soko la Rwanda,Uganda na Burundi pamoja na congo DRC, mzigo inafika mpaka sebuleni kwa mteja kutoka bandarini, yale mambo ya gari za IT kuangushwa na madereva wakati wa safari yanafikia mwisho, kitu ikitoka Japan au ujerumani, kama ilivyo, inafika
Kile kibanda Cha milioni 80 Cha Ofisi ya Chadema umekiona? Sasa hapo hawajapewa dola, wanapigaUpigaji tu hapo.
Ubora wa hali ya juu, Chadema walinunua magari ya M4C kwa mabilioni, lakini gari zote mtumba na hazitembei, nyie ndio mpewe nchi?Watanzania hamjifunzi? Una uhakika na ubora wa hayo mabehewae? Kwanini usijipe muda kabla ya kusifu na kupongeza?
Ni order yanatakiwa yawe tayari ndani ya mwaka mmja.Muwe mnasikiliza sio kukurupuka kwa chuki zenu.
Kadogosa kasema hadi yawe fabricated watakuwa tayari wamemaliza kujenga sgr hadi bandarini na sgr itakuwa tayari imemalizika hadi makutopola kwa hiyo biashara itaweza kuanza kufanyika kwenye sgr mpya.
sioni furaha yeyote katika hilo. wachina nitakuja kuona wa maana wakiamua kutukopesa au kutupiga sapoti kubadilisha TAZARA kuwa ya umeme na mwendo kasi. kwa aliyenielewa amenielewa. haya mengine yote mazingaombwe tu.
SGR na airport wapi na wapi?Sukuma gang waliojenga airport vichakani?
TuNi ngumu kujua kama sgr ya Mchina ilikuwa ya kifisadi au laa zatuna mkataba
This is not professional reporting. Ilipaswa uweze kuripoti kisiasa just report as a corporate affairs personnel.
Serikali inahusikaje,gvt inamalizana na main contractor hao wengine hawakutualika wakati wanakubaliana.Mwambieni main contractor wa SGR awalipe subcontractors pesa zao wanapata tabu sana.... wanakaa hadi miezi 3 bila malipo.
Wanakula kwa urefu wa kamba zao. Usichukie ndugu omba nawe uwe na kambaKishindo kwa maana wanaenda kupiga rushwa ndefu kwenye manunuzi
YapWanakula kwa urefu wa kamba zao. Usichukie ndugu omba nawe uwe na kamba
Bent Mwanantala msemaji wa TRC amekuwa CHAWA Hadi amejitoa ufahamu
Wanakopa Marekani na mataifa makubwa mengine unashangaa Tanzania kukopa?!.Sasa hicho kishindo cha Rais Samia kiko wapi hapo? Si suala la kawaida tu hilo! Mnakopa ili kununulia hayo mabehewa, na baadaye Watanzania tutatakiwa kulipa huo mkopo na riba juu kupitia kodi na hizi tozo mlizo tuanzishia?
Kwa nini wataalam tunao wategemea, mnapenda kutanguliza siasa na kujipendekeza kwenye mambo ya msingi? Kiukweli mnaboa sana.
Mimi sijashangaa kukopa. Ninaongelea hicho 'kishindo cha Rais Samia' je, ni katika nini? Maana kama ni huko kukopa, wala siyo jambo la kushangaza.Wanakopa Marekani na mataifa makubwa mengine unashangaa Tanzania kukopa?!.