Kishindo kingine cha Rais Samia katika SGR; TRC yaingia mkataba na kampuni ya China ununuzi wa behewa 1,430

Aya mabehewa wananua tuu sijui wataweka wapi. Hii ni story ya 3 kutoka kandarasi tatu nasikia ya mabehewa
Ni order yanatakiwa yawe tayari ndani ya mwaka mmja.Muwe mnasikiliza sio kukurupuka kwa chuki zenu.

Kadogosa kasema hadi yawe fabricated watakuwa tayari wamemaliza kujenga sgr hadi bandarini na sgr itakuwa tayari imemalizika hadi makutopola kwa hiyo biashara itaweza kuanza kufanyika kwenye sgr mpya.
 
Watanzania hamjifunzi? Una uhakika na ubora wa hayo mabehewae? Kwanini usijipe muda kabla ya kusifu na kupongeza?
 
Watanzania hamjifunzi? Una uhakika na ubora wa hayo mabehewae? Kwanini usijipe muda kabla ya kusifu na kupongeza?
Ubora wa hali ya juu, Chadema walinunua magari ya M4C kwa mabilioni, lakini gari zote mtumba na hazitembei, nyie ndio mpewe nchi?
 
Idadi hii ya mabehewa haijawahi kuagizwa na Rais yeyote tangu nchi hii iumbwe, na pengine katika ukanda wa SADC, yameagizwa kwa wakati mmoja na mama huyu jabali la kizanzibari. Anacheza kama Pele
 

Nimecheka sana
 
Mwambieni main contractor wa SGR awalipe subcontractors pesa zao wanapata tabu sana.... wanakaa hadi miezi 3 bila malipo.
 
Kuna umuhimu wa kuhakikisha tunakua na umeme wa uhakika.

Otherwise haitanoga.
 
Wanakopa Marekani na mataifa makubwa mengine unashangaa Tanzania kukopa?!.
 
Wanakopa Marekani na mataifa makubwa mengine unashangaa Tanzania kukopa?!.
Mimi sijashangaa kukopa. Ninaongelea hicho 'kishindo cha Rais Samia' je, ni katika nini? Maana kama ni huko kukopa, wala siyo jambo la kushangaza.

By the way, hiyo mikopo yenyewe tutakuja kulipa sisi! Sasa kishindo kiko wapi? Kama siyo muendelezo tu wa kujipendekeza na kumpa mtu sifa asizo stahili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…