Madogo ni digidigi sana.Kazi zao ni kwenda coco beach kuwavamia vile visichana vinavyoogelea vinawaambia usiponipa ninakuzamisha
Ilirudiwa na Peter Tosh
Unataka kusema PSL god yupo kwenye hilo kundi??Waboreshe nguvu za kiume ili wahongwe na wadada wanaojiweza kiuchumi .
1.Hapo utasikia jana ilibaki mechi moja tu nimle muhindi..
Huyo mwamba aliekula kakepu keupe chini kala dundo nyeupe ni Jordy05 ndio Alwatan hapo gang na ndo mtoa nondo mkuu.Huyo mwamba yupo na yule mwenzake mwenye picha ta katuni kavaa kibaraghashia π
Akiwemo na Poor Brain ππMnategemea mhongwe na majimama tena ya bongo, ndio mfanikiwe? Nyie vijana wa hovyo sanaππππ