Kisimiri, Arusha: DC Muro afuatilia wakulima wa bangi usiku wa manane

Kisimiri, Arusha: DC Muro afuatilia wakulima wa bangi usiku wa manane

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Ikimbukwe kuwa Kisimiri ni eneo maarufu wilayani Arumeru linalosifika kwa kilimo na Biashara haramu ya Bangi.

Mwaka jana Timu maalumu ya kupambana na madawa ya kulevya ilikamata shehena ya bangi iliyopelekea OCD na RPC kuondolewa.

Eneo hili ni eneo korofi kufikika kwani ndio eneo lililoko juu kabisa mkoani Arusha yaani mlima Meru na HUKU NDIO KUMELETA ULE MSEMO WA KITU CHA ARUSHA.

Tazama mkuu huyo wa Wilaya alivyokutana na machalii na madingilai wa R ChuGa

 
Mpeni DC taarifa kabisa, Janga Africa, (Kiingereza cha Yanga), walipigwa na Azam, jana! Najua hakupata matokeo Yupo bize kuboresha cv kwa kumkamata huyo Babu wa bangi, hawezi kuwa amesikia matokeo!! Mwambieni ‘Mnyama’ ameshakamata usukani na haachii tena!
 
Back
Top Bottom