Malaika Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 902
- 909
Hiyo ni kutokujua majukumu ya nafasi hiyo.
Hata OCD hafanyi kazi hiyo.
Anapanga batallion na kuwaachia platoon commanders waendelee na kazi yeye anapewa taarifa za operation na kuwawezesha kufanya kazi.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app
Hata OCD hafanyi kazi hiyo.
Anapanga batallion na kuwaachia platoon commanders waendelee na kazi yeye anapewa taarifa za operation na kuwawezesha kufanya kazi.
Sent from my LG-F800S using JamiiForums mobile app