Hahaha dc,wazee wako na babu hapohili jibu la ""kama nini"" ni code word ya hatari
Babu kasema huku juu! juu wapi sasa Babu!Hahaha dc,wazee wako na babu hapo
Sim za dili zinaingia Hahaha
Babu naona kama anataka kuruka kiunzi
Ova
Dc si yuko chini ya kamati ya ulinzi na usalama mzeeKazi ya DC au polisi?
Babu mhuni huyoo[emoji23][emoji23][emoji23]Babu kasema huku juu! juu wapi sasa Babu binge la muhuni uyo Muro akasome!
Anaji-Harmonize. Unapiga nyimbo halafu unaji bust U tube.Kaka kila kitu unafanya mwenyewe? Post na reply[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
πππ yaani Muro ana hisi uyo Babu leo ndio kawaona Polisi!Babu mhuni huyoo[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova
Mzoefu huyo babu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani Muro ana hisi uyo Babu leo ndio kawaona Polisi!
kumbe Babu ana wapanga!
babu ni mzee wa coding, master planner kwenye hiyo angleπππ yaani Muro ana hisi uyo Babu leo ndio kawaona Polisi!
kumbe Babu ana wapanga!