Kisimiri, Arusha: DC Muro afuatilia wakulima wa bangi usiku wa manane

Je hao ukatawo wapanga wakienda huko
Na wakipewa mlungula

Ova
 
Mama Samia anatakiwa aachane na watafuta kiki kama huyu Muro. Huyu huyu Muro alionesha kuwa Magufuli ni mbaguzi hasa kwa Wachagga nashangaa leo unamshobokea
 
Kupambana na bange ni Unafiki tu.

Polisi wengi wanavuta,

Askari wengi wa JWTZ wanavuta,

Wanasiasa wanavuta.
 
Hii ni kiki tu ya kutafutia uteuzi. Wakawadanganye wajinga wengine. Amekaa meru karibia miaka 4, why now. Muro na Sabaya must go...!!
 
Upuuzi mtupu, amekuwa DC huko zaidi ya miaka minne sasa hajaweza kumaliza hilo suala, leo anajirekodi ili abaki kwenye list mpya ya maDC? Mwambie aache mbinu za kitoto. Mama aweke DC Mzanzibari kwenye hiyo wilaya.

Mkuu kuwa serious basi DC Mzanzibari Meru? Hii wilaya isikie tu,Muro mwenyewe hajaiweza
 
Bangi haitamsaidia kitu
 
Mkuu kuwa serious basi DC Mzanzibari Meru? Hii wilaya isikie tu,Muro mwenyewe hajaiweza

Hutaiweza kama unaendekeza siasa za kiki. Sasa mkuu kwenye watu makini ndio unamtaja Muro?Au kwako mtu akitumia vitisho na nguvu nyingi kuliko akili ndio unamuona bonge la kiongozi?
 
hii ni tofauti kati ya mvulana na mwanaume
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…