Kisimiri, Arusha: DC Muro afuatilia wakulima wa bangi usiku wa manane

Muro mjanja kweli kweli,Mama Samia Sijui kama atachomoka hapa lazima awepomoted RC.
 
Mzoefu huyo babu[emoji23][emoji23]
Ashazoea mishindo kupigwa
Si umesikia anasema "wale wanaokamata bangi wamefika huko" babu kama anaongea kwa code[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Husi “judge base on the video”, ukitumia jicho la tatu, utaona babu ni mbuzi kafara tu. “It was a normal business”
 
DC anaacha mambo ya msingi anahangaika na dawa za kienyeji ! bangi ni dawa tu
 
Nimemkubali huyo mzee yupo loyal kwa Kartel anapangua mtego wa polisi mbele yao wakiona 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…