Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri.

========

Polepole: Kesho October 03 2020 katika Viwanja vya Mnazi mmoja Zanzibar tuna jambo letu, tutakuwa na Mkutano mkubwa wa Kampeni, JPM ataunguruma kutoka hapa, kiufupi Zanzibar itasimama

Tangu mwaka 1995 Zanzibar anaegombea ni babu madevu ,2020 babu madevu hata 2025 Mgombea atakuwa huyo huyo babu madevu,ina maana humo kwenye taasisi hakuna Vijana wenye fikra za uongozi?

Dkt. Mwinyi unaweza kumlinganisha na huyu Babu yenu? Alishaondoka zake CCM sisi hatumhitaji, alikwama hapa akapewa kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais. Juzi alipokwenda kuchukua fomu wafuasi wake wanasema piga, ua na yeye anasikia tu bila kuwakemea.
 
Kuna uwezekano mkubwa wa kujiharibia kwa ulimi wako mwenyewe hasa pale unapo washuhudia uwongo watu ambao wanaujua ukweli wote wa kile unacho potosha kabla hauja ongea na hapo ndipo utakapoishia kuaibika na kubaki unasikilizwa kama mtu asiye faa kusikilizwa!!!
 
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri.

========
Asante, tunafuatilia kwa makini
P
 
Naona ana lia na wapinzani kwanini hawasifu kama ulivyo mtindo wa watu wa chama chake 😂😂😂
 
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri.

========
Ndege zimenunuliwa,sasa mtanzania wa kawaida anaweza kupanda? Mwanza to Dar 300000. Hizi ndege hazina msaada kwa wananchi.
 
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri.

========
Umejenga flyovers,umenunua ndege,je mwanachi ananufaika vipi?
 
Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri.

========
Namsikiliza hapa anawasuta vizuri kwa kutumia data CHADEMA kwa unafiki wao wa kupinga ujenzi wa reli ya SGR na ununuzi wa ndege wakati hayo mambo yalikuwepo katika ilani ya CHADEMA ya mwaka 2015.

Keeo it Mr Polepole.
 
Namsikiliza hapa anawasuta vizuri kwa kutumia data CHADEMA kwa unafiki wao wa kupinga ujenzi wa reli ya SGR na ununuzi wa ndege wakati hayo mambo yalikuwepo katika ilani ya CHADEMA ya mwaka 2015.

Keeo it Mr Polepole.
Budget imepitishwa na Nani?Kama sio Jiwe na mpwawe Dotto J.Bunge halijausishwa.Jibuni hoja za Tundu Lissu badala ya kuweka vijembe!
 
Back
Top Bottom