Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Nimeshinda kumuelewa. Mwenyezi Mungu tu ndiye anajua mwisho wake.
 
..ccm hawana wasemaji au katibu mwenezi upande wa znz?

..wakati mwingine ni vizuri kuwaachia waznz wakazungumza mambo yao.
 
Hivi Polepole ni mzee au kijana. Muonekano wake yupo kama msukule, hata huwa simuelewi.
 
Katibu wa itikadi na uenezi CCM ndugu polepole kuwa na heshima , kumuita majina ya kejeli na kumtusi mzee maalim seif si uungwana.
Huyu akiwa mtoto mdogo ni lazima aliwahi kupatwa maradhi ya kwashakoo ama malasimasi kutoka na lishe duni. Maradhi ambayo yanameathiri kwa kiasi kikubwa sehemu ya ubongo wake.
 
Katibu wa itikadi na uenezi CCM ndugu polepole kuwa na heshima , kumuita majina ya kejeli na kumtusi mzee maalim seif si uungwana.
Tatizo la kujiamini kwa sababu unalindwa na dola.
 
Tafuta press aliyoifanya Leo uitizame.
Nasikiaga ata aibu kuangalia press zao, hata kampeni za mgombea wao huku bara zinaniachaga mdomo wazi kwa mshangao kutokana na ayaongeayo, sileti maji mkichagua wale!!!! Kwamba nimewabembeleza sana na hii ndio mara yangu ya mwisho kuwaomba!!!! Hili ni ombi au ni shuruti?
 
Huyu mchumia tumbo.. anasibitisha ule usemi usemao :MASIKINI AKIPATA .........
 
Lissu ana heshima? Acheni doublestandards Bavichwa

Huyu kijana wenu hana adabu. Hata mimi nilimuandika wiki iliyopita kwa ukosefu wake wa heshima kwa watu wazima. Mara utamsikia anasema eti Mbowe ni mlevi na ameshamtukana hata Lema matusi ya nguoni. Cha ajabu tume ya uchaguzi imekaa kimya tu.
 
Jimama nene jirani na Polepole ni nani?
Huyo ni "lubricant".
Huyo ni "blanket chapa mtu".
Huyo ni "kipozeo".
Huyo ni "jamvi la wageni".
Kwa uzoefu wangu wa CCM - White House - Dom,majimama manene manene hizo hapo juu ndio sifa zao.
Namkumbuka best yangu na mdogo wangu Bunini.
 
Back
Top Bottom