Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Kuna treni inaenda Mwanza?Bei ya treni unaijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna treni inaenda Mwanza?Bei ya treni unaijua
Madege ya Atcl, Sgr, Flyovers, na Mahospitali.Huyu jamaa anaongea nini.? mbona haeleweki
Sasa huyu mbwiga anaongelea SGR Zanzibar??? Hamnazo huyu.Namsikiliza hapa anawasuta vizuri kwa kutumia data CHADEMA kwa unafiki wao wa kupinga ujenzi wa reli ya SGR na ununuzi wa ndege wakati hayo mambo yalikuwepo katika ilani ya CHADEMA ya mwaka 2015.
Keeo it Mr Polepole.
Hebu wekeni picha ya lenyewe tulione labda linafaa kutafunwa?Jimama fisadi
Sgr, ndege za Atcl na nongwa za Babu madevuSasa huyu mbwiga anaongelea SGR Zanzibar??? Hamnazo huyu.
Kuna treni inaenda Mwanza?
Hii ni hatariJinsi Polepole alivyokataliwa na ummaView attachment 1588138View attachment 1588140View attachment 1588141
Kwa hiyo nikijua ndio itapunguza bei za ndege?Mtanzania hujui kama kuna treni ya kwenda Mwanza? Au Mrundi nini?
Asante, tunafuatilia kwa makini
P
Pasco njoo huku ushuhudie mtu wako anavyokabwa Koo!Jinsi Polepole alivyokataliwa na ummaView attachment 1588138View attachment 1588140View attachment 1588141
Asante, tunafuatilia kwa makini
P
Zinamsaidia nini?Ahaaaa ahaaaa, si ajabu hapo ulipo uko na notebook kabisa unaandika pointi za Polepole!
Anatoa maagizo gani hapo kwa NEC, Msajili na polisi dhidi ya Lissu? Siku hizi naona ameamua kuwa mkuu wa NEC, IGP na Msajili....
Comrade Mayalla nina imani hii signature yako mpya itakupa japo uteuzi 🤣 🤣 🤣Asante, tunafuatilia kwa makini
P