Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Uchaguzi 2020 Kisiwandui, Zanzibar: Mkutano wa Humphrey Polepole na waandishi wa habari

Huyu jamaa anaongea nini.? mbona haeleweki
Mataga kwani kazi ya mwenezi ni .?
 
Namsikiliza hapa anawasuta vizuri kwa kutumia data CHADEMA kwa unafiki wao wa kupinga ujenzi wa reli ya SGR na ununuzi wa ndege wakati hayo mambo yalikuwepo katika ilani ya CHADEMA ya mwaka 2015.

Keeo it Mr Polepole.
Sasa huyu mbwiga anaongelea SGR Zanzibar??? Hamnazo huyu.
 
Mbona anamtukana maalum.Polepole Hana adabu kwa wazee.Maalim Seif amewashika pabaya!
 
Anatoa maagizo gani hapo kwa NEC, Msajili na polisi dhidi ya Lissu? Siku hizi naona ameamua kuwa mkuu wa NEC, IGP na Msajili....

Hayo anayosema ni maagizo ya Magufuli, yeye anafikisha ujumbe wa boss wake kwa taasisi zao.
 
Back
Top Bottom