kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Usitamani vitu usivyokuwa na uwezo wako.Panda Bus au Treni.Hizo ndio saizi yako kwanza unataka kupanda ndege unakimbilia nini? Kama una biashara hutaoona hasara ya kulipa laki tatuKwa hiyo nikijua ndio itapunguza bei za ndege?