kasulavenance
JF-Expert Member
- Jan 23, 2020
- 759
- 914
Usitamani vitu usivyokuwa na uwezo wako.Panda Bus au Treni.Hizo ndio saizi yako kwanza unataka kupanda ndege unakimbilia nini? Kama una biashara hutaoona hasara ya kulipa laki tatuKwa hiyo nikijua ndio itapunguza bei za ndege?
Ulitaka amsemee Mbowe?Hayo anayosema ni maagizo ya Magufuli, yeye anafikisha ujumbe wa boss wake kwa taasisi zao.
Huna akili,kwani ndege ni kwa ajili ya wenye uwezo au wafanya biashara? Nini maana ya shirika la umma? Sio kutoa huduma kwa wananchi,son of gun.Usitamani vitu usivyokuwa na uwezo wako.Panda Bus au Treni.Hizo ndio saizi yako kwanza unataka kupanda ndege unakimbilia nini? Kama una biashara hutaoona hasara ya kulipa laki tatu
Mkuu,Kutoka afisi kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar ndugu katibu mwenezi wa CCM, Humphrey Polepole anaongea na waandishi wa habari juu ya mwenendo wa kampeni za wagombea kuanzia ngazi ya Urais mpaka udiwani. Kuwa nami kukujuza yatakayojiri...
Amemuitaje?Katibu wa itikadi na uenezi CCM ndugu polepole kuwa na heshima , kumuita majina ya kejeli na kumtusi mzee maalim seif si uungwana.
Niupumbavu huo anafikiri anachokula leo atakula mpaka kaburini yeye hawezikutwa maadiliKatibu wa itikadi na uenezi CCM ndugu polepole kuwa na heshima , kumuita majina ya kejeli na kumtusi mzee maalim seif si uungwana.
Tafuta press aliyoifanya Leo uitizame.Amemuitaje?
So sadnimesikia leo jina kama mzee madevu
Huna akili,kwani ndege ni kwa ajili ya wenye uwezo au wafanya biashara? Nini maana ya shirika la umma? Sio kutoa huduma kwa wananchi,son of gun.
Endelea kufuatilia, WAJUMBE wanaweza kukuludishaAsante, tunafuatilia kwa makini
P