Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,823
- 2,466
Yaani hata mimi sijashangaa sana , nilijua tu mh amesepaKumbe ndiyo maana wamekata umeme kwa kuwa rais amesepa.
Hao watoto mmewajaza hapo ili kuhadaa umma. Kuna mtu anayejitambua ataenda kukanyagana kwa ajili ya mtu aliyesema watu wanapenda vitu vya bure, huku yeye akiwa anapata huduma zote bure kupiga domo majukwaani?View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Una tatizo la kijinsia , siyo bure!Hao watoto mmewajaza hapo ili kuhadaa umma. Kuna mtu anayejitambua ataenda kukanyagana kwa ajili ya mtu aliyesema watu wanapenda vitu vya bure, huku yeye akiwa anapata huduma zote bure kupiga domo majukwaani?
Una tatizo la kijinsia , siyo bure!
Tupo, tulikuwepo na tutakuwepo.Chawa jifunze kuwa mvumilivu kwenye ukweli.
Tupo, tulikuwepo na tutakuwepo.
Mmeokota maiti ngapi ?View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Aiseeh watoto wa sikuhizi Wana ndevu mkuu nimeona pia🤣🤣Hao watoto mmewajaza hapo ili kuhadaa umma. Kuna mtu anayejitambua ataenda kukanyagana kwa ajili ya mtu aliyesema watu wanapenda vitu vya bure, huku yeye akiwa anapata huduma zote bure kupiga domo majukwaani?
YeahWamekanyagana wapi
Acha kuwa wa hovyo, ni watoto tu wasio na majukumu ndio wa kwenda huko pamoja na machawa kama nyinyiChawa jifunze kuwa mvumilivu kwenye ukweli.
Eh! jameni walaYeah