KISONGO: Maelfu wakanyagana wakitaka kumwona Rais Samia Suluhu yeye awaombea kwa Mungu na kuwaahidi makubwa

KISONGO: Maelfu wakanyagana wakitaka kumwona Rais Samia Suluhu yeye awaombea kwa Mungu na kuwaahidi makubwa

Daaah hatari sanaa,,,๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Hao si huwa wanasombwa na malori.unadhani hatujui?
 
Kwa Arusha hii ninavyoijua na hii Hali ilivyo eti mpaka watu wamekanyagana kingine kule tungeona watu wamejifunika mashuka kwa maana wakazi wengi n wamasai.

Itakuwa waliongea na kiwanda Cha A to Z wawasaidie kujaza people
 
Hao watoto mmewajaza hapo ili kuhadaa umma. Kuna mtu anayejitambua ataenda kukanyagana kwa ajili ya mtu aliyesema watu wanapenda vitu vya bure, huku yeye akiwa anapata huduma zote bure kupiga domo majukwaani?
Kwani dhalimu wako huyo?
 
Yereyere.....Arusha oyeeeeeee, ndio maana Lema amekimbia, hana lake arusha
 
Hii Nchi inazidi tu kuwa ngumu kila kukicha. Maajabu nayo hayaishi!! Yaani ni tabu tupu.
 
Back
Top Bottom