Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wapo wengi na picha inaonesha halafu wewe unapinga! Nikutukane?Hao watoto mmewajaza hapo ili kuhadaa umma. Kuna mtu anayejitambua ataenda kukanyagana kwa ajili ya mtu aliyesema watu wanapenda vitu vya bure, huku yeye akiwa anapata huduma zote bure kupiga domo majukwaani?
Watu wapo wengi na picha inaonesha halafu wewe unapinga! Nikutukane?
Malori mbona hatujayaona kwenye picha?!Hao si huwa wanasombwa na malori.unadhani hatujui?
Kisongo haipo ArumeruView attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Ingesaidia sana kama ungeeleza alichowafanyia hawa watu hadi wakataka kukanyagana. Hilo ndilo la mhimu zaidi ya hizi stori za kusadikika.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
Ndiyo maana kaamua kuwaswalia?Wote wana huzuni kuu.
Hivi Rais Kagame ( Genius ) wa Rwanda alimwambia kwa Dharau Rais Mpuuzi na Juha wa nchi gani Afrika Mashariki kuwa anaongoza Maiti tupu?View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Hata JPM alikuwepo!Tupo, tulikuwepo na tutakuwepo.
ProbablyNdiyo maana kaamua kuwaswalia?
JiweHivi Rais Kagame ( Genius ) wa Rwanda alimwambia kwa Dharau Rais Mpuuzi na Juha wa nchi gani Afrika Mashariki kuwa anaongoza Maiti tupu?
Maajabu ya binadamu 🧍🧍 kugeuka na kuwa wadudu aina ya chawa. 🕷️🕷️Maajabu gani Umeyapata?
Huoni au?[emoji23][emoji23][emoji23] wamekanyagana...
Anapendwa sana na wananchi.View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Mama anawatu kwelikweliAnapendwa sana na wananchi.
Huyu mtu hana supporters.View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
Kisongo yenyewe haina maelfu ya watu,hao maelfu wametoka wapi?Baada ya kukosa sura ya nabii mkuu msemaji wa serikali ya mbinguni ktk huo umati sijakubaliana na ulichoandika.
Huyo mama enu hawezi kusanya umati kisongo tena jpili
Watakwambia Rais Samia hakubaliki Mara Ni picha za kuunga unga and such upuuzi wa haters..View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196