The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Uko sahihi 2025 baada ya kura ndio utajua wapo au hawapoHuyu mtu hana supporters.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi 2025 baada ya kura ndio utajua wapo au hawapoHuyu mtu hana supporters.
Huwa hamkosi nongwaSioni nyuso yenye furaha hapo.
Doesn't matter.Uko sahihi 2025 baada ya kura ndio utajua wapo au hawapo
Unaona Au huoni hiyo picha?Wamekanyagana wapi
Wamekanyagana wapi
Ninazidi kushangaaKisongo yenyewe haina maelfu ya watu,hao maelfu wametoka wapi?
Ila hakuendelea kuwepo, alishindwa ushirikiano.Hata JPM alikuwepo!
Wengi ni watotoKwa Mji mdogo wa Kisongo hao ni Watu wengi mnyonge mnyongeni.
Sio kweli tazama vizuri hiyo picha.Wengi ni watoto
Hawa watoto kwa nini wanatumiwa bila ridhaa yao!!??View attachment 2429194
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na Wananchi wa Kisongo Wilaya ya Arumeru Magharibi alipokuwa njiani akirejea mkoani Dodoma baada ya kukamilisha ziara yake ya kikazi Mkoani Arusha tarehe 27 Novemba, 2022.
View attachment 2429196
goodMama Chapa kazi Mama tuko na Wewe
Nakuumizana,[emoji23][emoji23][emoji23] wamekanyagana...
Kila mtu hana kazi ya kufanya Wewe Unafanya kazi gani?Hawana kazi ya kufanya, hao ni wazururaji tu