dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
na imagin tu kama tz ingekua na hio size ya gdp ($120b. (3rd in sub-sahara africa only after nigeria and SA, and 6th in the whole of africa).. ile kiburi mungekua nayo!!..π€!)π π π π Ya matako yako?
Muwe na GDP ya 120b na bado mnakopa mpaka paracetamol?
Isna imagin tu kama tz ingekua na hio size ya gdp ($120b. (3rd in sub-sahara africa only after nigeria and SA, and 6th in the whole of africa).. ile kiburi mungekua nayo!!..π€!)
kama tu kuingia kwa Middle-Income-Economy in 2020, dunia mzima ilijua tz ime graduate... vile mliji gamba hadi BBC, CNN, ABC American Network..... saaana.!
Sisi tuliingia in 2001, na hata wakenya wengi hawakuwai jua kama wali vuka..
π€π€hebu muyatafakarini hayo masela..
View attachment 1783781
π€£πππ€£π€£Ndio maana napenda drone, maneno yako yanaishia tu kukua maneno, wacha video ijitetee., look how your towns are? Hiyo eti ni maendeleo?π€£π€£π€£πππ€£., low levels, yaani hii ni noma in Tzπ€£π€£πππ€£., next drone...,?? Weka zingine nione .,ππ€£π€£π€£ππ.,Moshi is developed than Nairobi
ππππ , Utajitekenya na kucheka mwenyewe, ukweli uko wazi tu. Mko ovyo EAC na SADC.,Is
GDP it's just digits, nothing substantial ndio maana pamoja na hiyo gdp yenu ya 90b bado mnakufa kwa njaa, kiu, slums na hamuwezi hata to pay salaries without loans
Akili fupi, yaani kilaza., what was the essence of this thread? Comparison analysis, hamuna chochote to level with Kenya's towns nje ya Dar, Kiswahili mingi bakisha kule vijiweni naniiππππ€£π Mwanza mji wa kimasikini in Tz afadhali Arusha, na eti ya pili in Tz. , Sura ya uchochole kila kona.,ππππNani alikwambia flyovers ndo maendeleo?!Kama flyovers ni maendeleo mbona Nairobi ina maflyovers kibao lakini watu wake wanaishi kwenye nyumba za mabati kama kuku au nguruwe huko kibera,mathare na Dandora.Ikitokea Mwanza mtu anaishi kwenye nyumba ya mabati lazima wananzengo tumchangie japo Mwanza hakuna flyoverπππ
History ya 2015 π π πππππ , Utajitekenya na kucheka mwenyewe, ukweli uko wazi tu. Mko ovyo EAC na SADC.,
View attachment 1784001
Yaani wewe ni kilaza nyuma na mbele inawezekana haujui hata kusoma.Sasa iwe mwisho kuleta maneno ya kijinga from slums country.Akili fupi, yaani kilaza., what was the essence of this thread? Comparison analysis, hamuna chochote to level with Kenya's towns nje ya Dar, Kiswahili mingi bakisha kule vijiweni naniiππππ€£π Mwanza mji wa kimasikini in Tz afadhali Arusha, na eti ya pili in Tz. , Sura ya uchochole kila kona.,
Uwezi kukuta upumbavu kama huu kwa majiji ya Tanzania yaani jiji kuwa na mbavu za mbwa katikati ya jiji kama Nairobi.Kuanzia Dar city(Dar es salaam),Rock city(Mwanza),A-city(Arusha),Capital city(Dodoma) mapaka Green city(Mbeya)Akili fupi, yaani kilaza., what was the essence of this thread? Comparison analysis, hamuna chochote to level with Kenya's towns nje ya Dar, Kiswahili mingi bakisha kule vijiweni naniiππππ€£π Mwanza mji wa kimasikini in Tz afadhali Arusha, na eti ya pili in Tz. , Sura ya uchochole kila kona.,
Nikikuambia wewe ni mpumbavu na ignorant, yaani kilaza kupindukia haitakua ni tusi, it is an outright compliment kakaππππ€£π , yaani unaenda google unaokota vidata uchwara, hauna akili ya kuchunguza the source uone credibility wewe ni kukurupuka tu na opinionated piecesπ€£πππ€£π ., tangu lini Kibera ikakua na watu 700,000! mara mnasemaga 2million, sasa mnapunguza tena?π€£ππ€£π€£π , Idiot indeedπ π€£π€£π€£, 2019 census puts Kibera at aprox 190,000, election body(IEBC) ambayo inafanyisha uchaguzi ikapata total ya residents ni less than 200k ilipokua ikisajili wapiga kura for a by-election baada ya MP wao kufariki,(I give u benefit of doubt, research na ujiangalilie mwenyewe udhibitishe usiseme napika data, nawajua vizuri, hampendi ukweli), wewe pambana na hali yenyu,. ,Dar es salaam 70% plus ni walala hoi fukara., Picha ya taifa., facts will prove that., Bali wewe Utalazimisha propaganda ili Kenya iwe level yenyu ya uchochole, mimi naeza kupatia facts ukalia., Mko ovyo zaidi ukanda huu., don't argue with me kijinga jinga dogo., jichunguze ama fanya utafiti mwafaka kisha uje., hii sasa ndio matokeo ya elimi hafifu., mko ovyo kwa kila kitu.., ni laana ama ni ujinga?π πππππ€£πYaani wewe ni kilaza nyuma na mbele inawezekana haujui hata kusoma.Sasa iwe mwisho kuleta maneno ya kijinga from slums country.
View attachment 1784047
View attachment 1784048
π€£ππππ€£π€£π€£π π , danganya toto jingaπ πππ€£π€£., jipe shughli ama nenda uka lilie kwa chooππππππππ..., world bank kumbe wanawaonea wivu, beberu hawapendi Tanzania wanawasingizia., ama pia kwa kuwaweka mido income walisingizia?., kubali matokeo yoteπππππUwezi kukuta upumbavu kama huu kwa majiji ya Tanzania yaani jiji kuwa na mbavu za mbwa katikati ya jiji kama Nairobi.Kuanzia Dar city(Dar es salaam),Rock city(Mwanza),A-city(Arusha),Capital city(Dodoma) mapaka Green city(Mbeya)
sorry but i think am signing out of Jamii Forum. sorry my brothers.. ntarejea after 1yr or soπ. i ll miss u pipo especially, Mdasi, Opportunity cost, Mwadhan, Yosef, and my opposition friends like, Kitombi!, Geza ulole, Dpresident
Acha matusi tunabishana kwa hoja, umesema idadi ya wapiga kura wa kibera ni 190000 na hao ni waliojiandikisha kupiga kura, na je vipi kuhusu wale ambao hawakujiandikisha, na vipi kuhusu vijana wadogo na watoto je mliwahesabu hakika nazani pop ya kibera ni zaid ya 2mil hacha urofa.Nikikuambia wewe ni mpumbavu na ignorant, yaani kilaza kupindukia haitakua ni tusi, it is an outright compliment kakaππππ€£π , yaani unaenda google unaokota vidata uchwara, hauna akili ya kuchunguza the source uone credibility wewe ni kukurupuka tu na opinionated piecesπ€£πππ€£π ., tangu lini Kibera ikakua na watu 700,000! mara mnasemaga 2million, sasa mnapunguza tena?π€£ππ€£π€£π , Idiot indeedπ π€£π€£π€£, 2019 census puts Kibera at aprox 190,000, election body(IEBC) ambayo inafanyisha uchaguzi ikapata total ya residents ni less than 200k ilipokua ikisajili wapiga kura for a by-election baada ya MP wao kufariki,(I give u benefit of doubt, research na ujiangalilie mwenyewe udhibitishe usiseme napika data, nawajua vizuri, hampendi ukweli), wewe pambana na hali yenyu,. ,Dar es salaam 70% plus ni walala hoi fukara., Picha ya taifa., facts will prove that., Bali wewe Utalazimisha propaganda ili Kenya iwe level yenyu ya uchochole, mimi naeza kupatia facts ukalia., Mko ovyo zaidi ukanda huu., don't argue with me kijinga jinga dogo., jichunguze ama fanya utafiti mwafaka kisha uje., hii sasa ndio matokeo ya elimi hafifu., mko ovyo kwa kila kitu.., ni laana ama ni ujinga?π πππππ€£π
Kenya ni most Poorest country globallyπ€£ππππ€£π€£π€£π π , danganya toto jingaπ πππ€£π€£., jipe shughli ama nenda uka lilie kwa chooππππππππ..., world bank kumbe wanawaonea wivu, beberu hawapendi Tanzania wanawasingizia., ama pia kwa kuwaweka mido income walisingizia?., kubali matokeo yoteπππππ
View attachment 1784162
compare and contrast everything, from Gdp size, Gdp per capita, Human Development Index (HDI), Gini.. etc.Is
GDP it's just digits, nothing substantial ndio maana pamoja na hiyo gdp yenu ya 90b bado mnakufa kwa njaa, kiu, slums na hamuwezi hata to pay salaries without loans
Tafuta hii report ujisomee uniondolee ujinga wako wewe., March 2021ππππ, siwezi kusaidia mzembe.,
Wewe si ulishasema tuonane mwakani au? π π π πcompare and contrast everything, from Gdp size, Gdp per capita, Human Development Index (HDI), Gini.. etc.
πkenya
View attachment 1784327
πtanzania
View attachment 1784329
LMIC mnaongoza kwa ufukara duniani π πTafuta hii report ujisomee uniondolee ujinga wako wewe., March 2021ππππ, siwezi kusaidia mzembe.,
View attachment 1784350
na mbona haujaipiga vita south africa na pia iko kwa hii list yako!, nchi inayo chukuliwa kama the most advanced economy, na bado iko na slums kibao tu, hata kubwa kubwa shinda za nairobi!. slums kama vile, Khayelitsha (cape town), alexandra (johannesburg), kennedy rd slums (durban). acha mchezo nanii..Yaani wewe ni kilaza nyuma na mbele inawezekana haujui hata kusoma.Sasa iwe mwisho kuleta maneno ya kijinga from slums country.
View attachment 1784047
View attachment 1784048