dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
π ππI love drone, ina expose how Tanzania looks like better than vipicha.,
Haya basi rudisha Uzi kwa Mwanza vs Kisumu., nini kipya Mwanza so far?., roads? Rail?, Airport, estates..
yani this is the famous Moshi! hua ninaiskia kila uchao.... Yosef, hebu njoo uone... ππMoshi is developed than Nairobi
mwenye alitaka kununua simu amegoma.. π so... tunarejelea uwanjani tenaWewe si ulishasema tuonane mwakani au? π π π π
Mimi naongelea kuhusu kufa njaa, statehouse hakuna maji, slums na madeni, usiniletee Wikipedia
Hamuwezi kununua hata paracetamol bila kuapply loan so hiyo gdp yenu ya 90b ina kazi gani?
Kilimanjaro can beat Kisumu and Eldoret combinedyani this is the famous Moshi! hua ninaiskia kila uchao.... Yosef, hebu njoo uone... ππ
πkisii town yenyewe, mji nambari15, kenya, inaichabanga moshi mji nambari4! in tz πππMoshi is developed than Nairobi
Laughable, Moshi sio hata number 4πkisii town yenyewe, mji nambari15, kenya, inaichabanga moshi mji nambari4! in tzView attachment 1784616
Well, Try Iringaπkisii town yenyewe, mji nambari15, kenya, inaichabanga moshi mji nambari4! in tz πππView attachment 1784616View attachment 1784666
Kwa hapa watakueelewa eti wanataka kufananisha kibera na tandale hawa jamaa kweli hamnazo wakati saivi mitaa ya tandale imepigwa zege na taaa juu na Barbara zimechorwaYaani wewe ni kilaza nyuma na mbele inawezekana haujui hata kusoma.Sasa iwe mwisho kuleta maneno ya kijinga from slums country.
View attachment 1784047
View attachment 1784048
Laughable, Moshi sio hata number 4
Kilimanjaro πΉπΏπΉπΏπΉπΏ
View attachment 1784648View attachment 1784649View attachment 1784650View attachment 1784652View attachment 1784653View attachment 1784654View attachment 1784655
Na pia nilichogundua 89% ya barabara za miji yote Kenya hazina sideways kabisaKwa hapa watakueelewa eti wanataka kufananisha kibera na tandale hawa jamaa kweli hamnazo wakati saivi mitaa ya tandale imepigwa zege na taaa juu na Barbara zimechorwa
hii ni wewe ya kisumu..Na pia nilichogundua 89% ya barabara za miji yote Kenya hazina sideways kabisa
1 in millionhii ni wewe ya kisumu..View attachment 1784775
Si ndio zimenzwa kuwekwa juzi baada ya kumpiga gavana wao chiniNa pia nilichogundua 89% ya barabara za miji yote Kenya hazina sideways kabisa
Tena ukumbuke zanzibar inapambana km nchi lkn hvyo hvyo inakaa[emoji23][emoji23]huyu fundi Tasa ni shoga sana.. eti mombasa ulinganishe na vijiji vya ujamaa
Amazing roadsKisumu city., Mwanza ikifika hapa kama Niko hai nafunga account;
View attachment 1782037
View attachment 1782038
View attachment 1782048
Wide pavements.,
View attachment 1782039
View attachment 1782045
View attachment 1782049
View attachment 1782054
View attachment 1782047
Relaxing..,
View attachment 1782052
Tzn Mji ni Dar,Dodoma na Arushamuki pewa hizi barabara mtawezana!?.. usidhani hapa nairobi... nakuru tu eti,View attachment 1782626
Bora hata kuingia middle income is somehow making sense to celebrate lakini kujenga flyover ya Ubungo ilikuwa kelele hadi unashangaa hawa bangosha veeepe? Ndio maana tunashukuru yule mshamba wao Mungu katuondolea aisee walikuwa wanatutia aibu sanana imagin tu kama tz ingekua na hio size ya gdp ($120b. (3rd in sub-sahara africa only after nigeria and SA, and 6th in the whole of africa).. ile kiburi mungekua nayo!!..[emoji848]!)
kama tu kuingia kwa Middle-Income-Economy in 2020, dunia mzima ilijua tz ime graduate... vile mliji gamba hadi BBC, CNN, ABC American Network..... saaana.!
Sisi tuliingia in 2001, na hata wakenya wengi hawakuwai jua kama wali vuka..
[emoji848][emoji848]hebu muyatafakarini hayo masela..
View attachment 1783781
Kwenye Inclusion sawa kwa sababu ya income hap but kwa individuals poorest no.of people Tzn imo kwenye top 5 Africa
Swali zuri na good observation,tunataka jibuna mbona haujaipiga vita south africa na pia iko kwa hii list yako!, inchi inayo chukuliwa kama the most advanced economy, na bado iko na slums kibao tu, hata kubwa kubwa na mbaya shinda za nairobi!. slums kama vile, Khayelitsha (cape town), soweto and alexandra (johannesburg), kennedy rd slums (durban). acha mchezo nanii..
[emoji116]hapa ni khayelitsha, cape town kwa mfano.....View attachment 1784364