dopchinski
JF-Expert Member
- Mar 11, 2021
- 3,387
- 3,683
nani kamoja βtu!. ππ wish they get time on youtube to see whats going on at nairobi's, expressway project..wata kimya! πBora hata kuingia middle income is somehow making sense to celebrate lakini kujenga flyover ya Ubungo ilikuwa kelele hadi unashangaa hawa bangosha veeepe? Ndio maana tunashukuru yule mshamba wao Mungu katuondolea aisee walikuwa wanatutia aibu sana
shika uzitoππKwenye Inclusion sawa kwa sababu ya income hap but kwa individuals poorest no.of people Tzn imo kwenye top 5 Africa
uko na shida ya macho wewe, hebu kamuone optician na ukule carrots mingi na mboga za majaniKenya towns are so dirty and unorganised, takataka everywhere
Learn from Tanzania
Tanga Streets, very clean and organised
wah! sikua nimeona hii... sikujua Arusha iko smart hivi!. very neat and organized! and with skyscapers.. even the CBD is clear, unlike mwanzaSiku mwanza wakifikia hapa uniambie..
Arusha is far ahead of mwanza in almost everything and everyone knows that
Hata hapa mnawakosea wakisumu kujilinganisha na mwanza atleast kisumu vs arusha could make sense
Mwanza mji mmoja local sana
As a Tanzanian i say mwanza mnatuaibisha sana watu wakiskia ni mji wa pili
Just to make this clear mwanza ni mji wa pili kwa watu wengi but in terms of development iko nyuma sana sana actually it's one of the poorest places in Tanzaniaπ
View attachment 1759045
View attachment 1759047
Acha kujipendekeza kwa lofa mdazi alafu nyie endeleeni kujazana ujinga na upumbavu kuhusu MWANZA, Mwanza sie level yenu tumewaacha mshindane na wa size yenu sasa ni kisumu vs arusha, kwa level ambayo mpo sasa nyie na arusha, Mwanza tulishatoka huko mwaka 2005 poleni sana na wivu wenu lakini ndani ya mioyo yenu mnajua Mwanza ni kiwango gani.wah! sikua nimeona hii... sikujua Arusha iko smart hivi!. very neat and organized!.. atleast the CBD is clear, unlike mwanza
na kwa hawa, Dpresident, kitombile na geza ulole.... tafadhalini nawaomba huo mji wenu wa mwanza, hebu mujaribu kuipanga kidogo.. in contrast with A-town, its more dirty, dusty and disorganized. ata CBD sio clear
π€£π€£π€£ kitombile utakufa kwa preshaπ₯Acha kujipendekeza kwa lofa mdazi alafu nyie endeleeni kujazana ujinga na upumbavu kuhusu MWANZA, Mwanza sie level yenu tumewaacha mshindane na wa size yenu sasa ni kisumu vs arusha, kwa level ambayo mpo sasa nyie na arusha, Mwanza tulishatoka huko mwaka 2005 poleni sana na wivu wenu lakini ndani ya mioyo yenu mnajua Mwanza ni kiwango gani.
Wanaokufa kwa presha sio presha bali presha ya umasikini ni hawa wanaoshi kama nguruwe kama kuna sehemu kama hii Mwanza nioneshe na ikitokea kwa Tanzania lazima rais ajiuzuru ππππNairobiiiiiπππslums city in africaπ€£π€£π€£ kitombile utakufa kwa preshaπ₯
even if nairobi has slums, just like its counterparts of, johannesburg, cape town and cairo.. the 4 of these cities are in the same league.. and ranked by forbes as being the top 4 most sophisticated and influential cities in africa, outside any other african city even ahead of lagos.Wanaokufa kwa presha sio presha bali presha ya umasikini ni hawa wanaoshi kama nguruwe kama kuna sehemu kama hii Mwanza nioneshe na ikitokea kwa Tanzania lazima rais ajiuzuru ππππNairobiiiiiπππslums city in africa
View attachment 1786790
Yes boss ngoja tuwafurahishe Kwa picha zingine za a townwah! sikua nimeona hii... sikujua Arusha iko smart hivi!. very neat and organized!.. atleast the CBD is clear, unlike mwanza
na kwa hawa, Dpresident, kitombile na geza ulole.... tafadhalini nawaomba huo mji wenu wa mwanza, hebu mujaribu kuipanga kidogo.. in contrast with A-town, its more dirty, dusty and disorganized. ata CBD sio clear
πππHii A-city ndo saizi ya kisumu city.Mwanza city level zake ni Kampala city,Kigali city,Mombasa city ndo maana jopo la wataalum na Mzee Mkapa wakakubali Mwanza city ndo second largest na best city after Dar hakuna nyingine zaidi.Hayo maneno mengine ni sawa na taarabu tu hayana utaalam wowoteππππYes boss ngoja tuwafurahishe Kwa picha zingine za a town
atleast Kwa tz Zanzibar Na arusha ndio kidogo zinaeleweka but still Kwa Kenyan cities hatutii mguu iyo Nakuru yenyewe cio city lakini Mwanza haiitii ndani labda Kwa kuzaliana π€£π€£
Hao ndugu zangu wa ziwani wanauzwazwa mwingi Sana la lack of exposure
from Mwanza to dar hamna serious city wanakutana nayo so hudhan wao ndo city ya maana duniani π₯ wanajisahau kuwa wako katikati ya ufukara wa kutupwa
View attachment 1786939
View attachment 1786944
Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila sikuπππndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.πππKisumu. The day Mwanza will have high quality roads like these msisahau kututag tafadhali.
View attachment 1786924View attachment 1786925
now this is what i was talking about.. i needed to see a serious city like this for me to give it credit..Yes boss ngoja tuwafurahishe Kwa picha zingine za a town
atleast Kwa tz Zanzibar Na arusha ndio kidogo zinaeleweka but still Kwa Kenyan cities hatutii mguu iyo Nakuru yenyewe cio city lakini Mwanza haiitii ndani labda Kwa kuzaliana π€£π€£
Hao ndugu zangu wa ziwani wanauzwazwa mwingi Sana la lack of exposure
from Mwanza to dar hamna serious city wanakutana nayo so hudhan wao ndo city ya maana duniani π₯ wanajisahau kuwa wako katikati ya ufukara wa kutupwa
View attachment 1786939
View attachment 1786944
weeee.... baki na hio laana yako ya size na ukubwa. size tunaizingatia tu kiasi but sanasana sophistication:- cleanliness, social ammenities, regional offices and NGOs, foreign investments, education institutes, industrial prowess, tourism industry, and general infrastructure!.πππHii A-city ndo saizi ya kisumu city.Mwanza city level zake ni Kampala city,Kigali city,Mombasa city ndo maana jopo la wataalum na Mzee Mkapa wakakubali Mwanza city ndo second largest na best city after Dar hakuna nyingine zaidi.Hayo maneno mengine ni sawa na taarabu tu hayana utaalam wowoteππππ
Nimekuonyesha barabara wewe unaongelea gorofa, wewe ushachanganyikiwa tayari. Acha nikuchanganye zaidi.Mbona vipicha na vigorofa ni vilevile kila sikuπππndo maana tukawachia Moshi,iringa na Arusha ndo saizi yenu.Tulijaribu kufunguka kidogo mkalete Mombasa nayo ni old town.πππ