Kisumu vs Mwanza

Kisumu vs Mwanza

Mna hela ya kukaa kwenye hizo estate wabongo Na kama umesahau price ya kitu inapanda kutokana Na scarcity wenye hela ni wachache bongo ndo maana unapata ardhi kizembe zembe🤣
Usisahau Nairobi ni moja ya miji inayoongoza Kwa matajiri wengi Afrika
GDP ya Nairobi pekee inakaribiana Na ya Tz yote hii ni kama unajua hata GDP maana yake nn
😂😂😂 kwaiyo wachina wanakaa kwenye estate uko kwenye miji yao wanahela kuzidi wanerekani au wajerumani au waswidi ebu punguza mzigo kichwani mzee
 
Nionyeshe walipo andika nairobii is largest city and most populous city in eastern Africa sio kuniandikia nyimbo za singeli hapa
😂😂 Braza dar Sasa hivi ukiandiaka wanakuletea ilala
Maskini mmesahau Mwenda zake amefanyaje Kwa dar??? Sasa hivi huko buza sio dar ndo mkashindane Sasa kiume mtapitwa Hadi Na kigali
Screenshot_20210421-162137.png
 
Swali langu umelielewa Acha kuamisha mada
Nmekuletea metropolitan ya Nairobi ni 9million nletee wewe ya dar yenye hata 7 million 🤣🤣 si unajiamini na mji wako au data za mji wako huna mnakaa kaa humu jamii mnatujazia thread 😎
 
😂😂😂 kwaiyo wachina wanakaa kwenye estate uko kwenye miji yao wanahela kuzidi wanerekani au wajerumani au waswidi ebu punguza mzigo kichwani mzee
We unajua hata real estate Kweli🤣🤣
Huku kukosa elimu kunakusumbua Sana mkuu soma hata memkwa kama mda umeenda
Yaani China iizidi marekani Na ulaya Kwa real estate???

Screenshot_20210421-162549.png
 
Nmekuletea metropolitan ya Nairobi ni 9million nletee wewe ya dar yenye hata 7 million 🤣🤣 si unajiamini na mji wako au data za mji wako huna mnakaa kaa humu jamii mnatujazia thread 😎
Sitaki kusikiliza mapambio yakoo leta facts kwa claims ulizotoa kwamba Nairobi is largest and most populous city in EA sio kuniletea nyimbo zako za tenzi izo


 
Naelewa Sana mkuu
Nairobi metro pop ni around 9 million
Largest in East Africa
Kitengela iko nje ya mji Lakin ina majengo mengi Zaidi ya Mwanza😂
Dar ina pop ya 6 million ila area ni 1500sqkm ila Kwa city proper area dar ni 600+sqkm yenye population ya around 3 to 4 million people only
Kuna mtani wangu wa Mwanza hapa aliniambia Wana 7000+sqkm🤣🤣 just forgive them abeg
Kuna huyu fundi vitasa inabidi aje hapa aone nlivoandika
 
We unajua hata real estate Kweli🤣🤣
Huku kukosa elimu kunakusumbua Sana mkuu soma hata memkwa kama mda umeenda
Yaani China iizidi marekani Na ulaya Kwa real estate???

View attachment 1759415
China ndio ina the largest real estate market kisoda iyo hanaqnishi ndio wanahela sana kama akili yako inavyokutuma kwakuwa wakenya wengi wanaishi kwenye nyumba za kupanga ndio wana hela sana alafu we boya unasema wametuzidi kwa mipango miji wakati ndio wanaongoza kwa maslums afrikaa ebu rudi shule kilaza wewe kwasasaivi elimu bure hutopata tabuu
 
China ndio ina the largest real estate market kisoda iyo hanaqnishi ndio wanahela sana kama akili yako inavyokutuma kwakuwa wakenya wengi wanaishi kwenye nyumba za kupanga ndio wana hela sana alafu we boya unasema wametuzidi kwa mipango miji wakati ndio wanaongoza kwa maslums afrikaa ebu rudi shule kilaza wewe kwasasaivi elimu bure hutopata tabuu
Nlivosema ukasome memkwa kumbe sikukosea🤣🤣🤣
Unataka useme nyie mnamaisha mazuri kuliko wakenya wakati mmeingia uchumi wa chini wa kati juzi mnasherekea unajua wakenya wameingia Lin???
 
Nlivosema ukasome memkwa kumbe sikukosea🤣🤣🤣
Unataka useme nyie mnamaisha mazuri kuliko wakenya wakati mmeingia uchumi wa chini wa kati juzi mnasherekea unajua wakenya wameingia Lin???
Twende kwenye ground wakenya wanaishi maisha mazuri kutuzidi sisi yapi hayo wakati watu uko turkana kila mwakaa zaidi ya milioni moja wanapelekewa misaada ya chakula
 
Ushasema metro sio nairobi city sasa ukiaanza kuongeza wakazi sijui wakikuyu au mlolongo ushatoka njee ya nairobi
🤣🤣Si ndio Na sisi tumesema Jiji Sasa hivi ni ilala au akili umeikalia hio
Mwendazake alikua Na akili Sana aliona hatuwezi kuwa Na Jiji kibamba nna chamazi uko Nairobi wangejumuisha kama nyie ndio wangekua million 9 Sasa nyie mwakani ndo mtafute hiyo million 3 Kwa taabu alafu metro ndo million 6😎
 
Nlivosema ukasome memkwa kumbe sikukosea🤣🤣🤣
Unataka useme nyie mnamaisha mazuri kuliko wakenya wakati mmeingia uchumi wa chini wa kati juzi mnasherekea unajua wakenya wameingia Lin???
Ebu nieleze maisha mazuri yapi hayo wakati Kenya only sothern Kenya ndio kuna angalau uko north ni utopolo tu watu wanakufa kwa njaa we pimbi nn alafu unakuja kujitamba hapa eti mnaishii maisha mazuri akati mnashindiaa kande siku nzima 😅😅
 
🤣🤣Si ndio Na sisi tumesema Jiji Sasa hivi ni ilala au akili umeikalia hio
Mwendazake alikua Na akili Sana aliona hatuwezi kuwa Na Jiji kibamba nna chamazi uko Nairobi wangejumuisha kama nyie ndio wangekua million 9 Sasa nyie mwakani ndo mtafute hiyo million 3 Kwa taabu alafu metro ndo million 6😎
Ushaanza kuuombaa poo akati mchezo ndio Kwanzaa dakika ya kwanzaa
 
Ebu nieleze maisha mazuri yapi hayo wakati Kenya only sothern Kenya ndio kuna angalau uko north ni utopolo tu watu wanakufa kwa njaa we pimbi nn alafu unakuja kujitamba hapa eti mnaishii maisha mazuri akati mnashindiaa kande siku nzima 😅😅
😂😂Mimi ni mbongo mwenzako chief
We unaongelea turkana mbali kote pita hapo kariakoo usiku uone watu wanavolalia maboksi
 
Ebu nieleze maisha mazuri yapi hayo wakati Kenya only sothern Kenya ndio kuna angalau uko north ni utopolo tu watu wanakufa kwa njaa we pimbi nn alafu unakuja kujitamba hapa eti mnaishii maisha mazuri akati mnashindiaa kande siku nzima 😅😅
Kutokua Na akili shida Sana yani nikuelezee Maisha Yao Na data zinajionyesha???
Lete data zinazoonesha tz ina Maisha mazuri kuliko kenya
 
😂😂Mimi ni mbongo mwenzako chief
We unaongelea turkana mbali kote pita hapo kariakoo usiku uone watu wanavolalia maboksi
Eehh yamekuzidi mpaka umehamua kurudi kwenuu Eehh sio unatetea Mininchi ya watu based on opinions only utaaumbuka wenye nchi wenyewe wamekaa kimyaa kwa sababu wanajua utopolo wao uko , alfa wewe unakuja kutetea hapa eti wanaishi maishaa mazur kutuzidi kwa lipi wakati wanashindia makande siku nzima, wakati uku bongo kuna mikoa ukiienda bei ya vyakula kama mchele ipo chini kuzidi ya unga mfano sumbawanga na mbeya njombee alfu uje unilinganishe na mtu anashindia kande nitakuelewaje
 
Eehh yamekuzidi mpaka umehamua kurudi kwenuu Eehh sio unatetea Mininchi ya watu based on opinions only utaaumbuka wenye nchi wenyewe wamekaa kimyaa kwa sababu wanajua utopolo wao uko , alfa wewe unakuja kutetea hapa eti wanaishi maishaa mazur kutuzidi kwa lipi wakati wanashindia makande siku nzima, wakati uku bongo kuna mikoa ukiienda bei ya vyakula kama mchele ipo chini kuzidi ya unga mfano sumbawanga na mbeya njombee alfu uje unilinganishe na mtu anashindia kande nitakuelewaje
Kajifunze kwanza kuandika
 
Kutokua Na akili shida Sana yani nikuelezee Maisha Yao Na data zinajionyesha???
Lete data zinazoonesha tz ina Maisha mazuri kuliko kenya
Katufute mwenyewe nchi gani inapelekewaga misaada ya chakula Ndio data zangu izo
 
Back
Top Bottom