Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia jioni watu hutumia viambaza hivyo kwa dinning out. Wazee wa mutton, tandoor, sekela, sechwan rice na indian recipes hujazana maeneo hayo kujinafasiHii mitaa hua ni Mungu tu anaepusha ajali,ni hatari sana,nyumba ziko karibu sana na barabara,jioni hasa kuanzia saa moja kuna ombaomba wegi sana,tena vingine ni vitoto vidogo vinazurura ovyo,sasa kibaya mabasi ya mwendo kasi kwakua ni barabara yao mwendo wanotembea kwakweli si rafiki kabisa,yaani kama una ma stress yako ya familia usipende sana kukatiza hayo maeneo...
View attachment 2525860
Hii picha ni ya leo pale mbele ya jengo la UVCCM Lumumba.
Concept ya kuwahi kuamka ni nadharia.
Na huwa wanachelewa sana kulala
Hapa Kazi Tu
usimamizi na uangalizi kwenye miradi hii ya umma ni tatizo sugu.
WATAFUTWE WAHINDI AU WACHINA KUENDESHA HIYO MIRADI.
SISI TUBAKI NA KUHAKIKISHA CCM INATAWALA MILELE
Mamlaka huwezi kuwaona hapo ila lingekuwa binafsi
usimamizi na uangalizi kwenye miradi hii ya umma ni tatizo sugu.
WATAFUTWE WAHINDI AU WACHINA KUENDESHA HIYO MIRADI.
SISI TUBAKI NA KUHAKIKISHA CCM INATAWALA MILELE
Ni Simu sisi mbona tunakunywa na tunaendesha hapahapa Dar tena nite mbaya😎Ajali ambayo chanzo chake ni pombe inatafakarisha sana
Hiyo siyo signature yangu - hiyo ni ya joni mfia chamaHii signature yako inakugombanisha na mahoka
mamlaka ipi ulitegemea huoni polisi pale? Mbona umekaa kipimbi?
Manka kumbe ni pimbi [emoji1][emoji16][emoji38]Haina shaka pimbi utakuwa wewe usiyejua tofauti ya mamlaka na polisi.
Serikali ipige marufuku mabasi kusafiri asubuhi.Basi la Mwendokasi likiwa linatoka Kivukoni limeacha njia na kuparamia maduka na miundombinu mingine pembezoni mwa barabara ya Morogoro kwenye makutano ya Jamhuri St.
Eneo hilo ni viambaza vya maduka, njia ya waenda kwa miguu na limekuwa linatumika na watu wasio na makazi kulala
Baadhi ya mashuhuda wanatuhumu kuwa dereva alikuwa amelewa.
Ukiangalia picha kwa umakini utaona baadhi ya virago vya kulalia ombaomba. Tuombe Mungu pasiwepo na madhara ya uhai
View attachment 2525759View attachment 2525762View attachment 2525764
Hahaha daaa sio poaJamaa huenda alikua anachezea simu huku akimfuatilia MANGANJE MTOTO WA ULAYA...., ile alivocheka tu basi nalo likacheka nae,...Hatari sana!