Kisutu: Ajali ya Mwendokasi makutano ya Jamhuri na Morogoro Road

Pia jioni watu hutumia viambaza hivyo kwa dinning out. Wazee wa mutton, tandoor, sekela, sechwan rice na indian recipes hujazana maeneo hayo kujinafasi
 
usimamizi na uangalizi kwenye miradi hii ya umma ni tatizo sugu.

WATAFUTWE WAHINDI AU WACHINA KUENDESHA HIYO MIRADI.

SISI TUBAKI NA KUHAKIKISHA CCM INATAWALA MILELE

Serikali wameshindwa kuendesha miradi yao ila angalia wanavyowasumbua wenye miradi binafsi:

LATRA hili la ving'amuzi ni uonevu uliopitiliza

Unaweza fikiria ni wahalifu kumbe ni wahanga wa wanaolazimisha kula kwa urefu wa kamba zao.
 
Serikali ipige marufuku mabasi kusafiri asubuhi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…