Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana hata jamaaDaah pole sana! Yaani uzembe wa wengine unauwa mtembea kwa miguu asiye na leseni wala idea na magari!
Umeelewa ulipo quote lknAjali ni ajali awe mwanamke au mwanaume
Juzi juzi kimara huko lori liliacha njia
Ikawafata jamaa pembeni 3 walikufa hapo hapo
Ova
Huu uzi waliandika Dereva alikuwa kalewa, naona baada ya video kutoka na ukweli kujulikana wamekuja kuedit uzi wakati comment zinawaumbua.Sijaona walipoandika chanzo!
Nadhani hili liwe somo kwa wafanyabiashara machinga kandokando ya barabara kuu na hasa Dar - Dodoma siku itatokea zitafagia wengi balaaHii imenikumbusha zamani mambo ya tungi nlikuwa napenda kukaa kwenye viti vinavyowekwa pembezoni mwa Road...mk bar hyo siku nasema niende washroom nyuma huku nasikiaa yalaaaahhh gari imeacha njia
Ikawagusa watu...mwinjumq Road hyo
Nkajirudia kuwa mzee wa kaunta tu
Ova
Ni bahati mbaya tu kama bahati mbaya zingine.Hii njia mi naona dereva labda alikua anajaribu kukwepa kitu Kama sio mtu basi Gari, haiwezekani uniambie dereva asubuh yote hii kalewa mleta habari hapa umebuni tu.
Ungesema uenda labda bado anawenge la usingizi wa asubuhi hapo sawa atleast kidogo ungeeleweka... alafu we mwenyw ulikua unapita na mwendokasi ukapiga picha ulijuaje kama dereva kalewa!!?
Halafu inaonekana hakuliona hilo basi, maana yule jamaa aliyekaa alipoliona na kuanza kukimbia, yeye akawa analifuata huohuo upande wake. Huenda alikuwa na mawazo ya mbali sana na hivyo kutohisi chochote.Hakuwa na sehemu ya kukimbilia, maana yaonekana gari baada ya kugonga ni kama iliongeza spidi
Mmh ngumu sana kuelewaNadhani hili liwe somo kwa wafanyabiashara machinga kandokando ya barabara kuu na hasa Dar - Dodoma siku itatokea zitafagia wengi balaa
Dah [emoji3064]Mpeni pole dereva wakuu kosa sio lake kuna gari ndogo ilichomeka ghafla ikabd akwepee upande huo mana upande aliokuewpo nasikia kulikua na watoto wadogo...
Wote tunajua ugumu uliopo kugongesha upande wako ila jamaa kajitoa kafara watoto wapone.... Hakua kalewa
Israeli akitaka rohoo yako,lazima akutie ukiziwi au upofu wa muda kwanza!!Halafu inaonekana hakuliona hilo basi, maana yule jamaa aliyekaa alipoliona na kuanza kukimbia, yeye akawa analifuata huohuo upande wake. Huenda alikuwa na mawazo ya mbali sana na hivyo kutohisi chochote.
Unahukumu picha,je,unamaelezo yeyote ya kina kuhusu hiyo ajalj?au tuu team roho mbaya.Halafu utakuta huyu dereva bado ana leseni yake na bado yupo kwenye hiyo kampuni anafanya kazi. Upumbavu kabisa.
Huyo akamatwe, afutiwe leseni akaombe upya na afukuzwe kazi kabisa katika taasisi yoyote ya Serikali asijekuajiriwa. Na akome kabisa.
Umetumia uhuru wako wa kutoa maoni; sikulaumu, hii ndio raha ya JF, kila mtu anaweza kuandika anachotaka!Imagine bata na kale kakichwa kale chake kalivo kadogo ila anakuzidi akili your head is 30times larger than a bata head ila kwa maoni yako haya am sure humzidi akili
Labda masikio mabovu, pale lazima alisikia mlio wa kugonganaHalafu inaonekana hakuliona hilo basi, maana yule jamaa aliyekaa alipoliona na kuanza kukimbia, yeye akawa analifuata huohuo upande wake. Huenda alikuwa na mawazo ya mbali sana na hivyo kutohisi chochote.
Aisee [emoji119]Uko sahihi
View attachment 2526139
Kwani huoni? Speed alokuwa nayo sio kubwa angeshika brake asingefikia kuua mtembea kwa miguuUnahukumu picha,je,unamaelezo yeyote ya kina kuhusu hiyo ajalj?au tuu team roho mbaya.
Hayo sio maoni mkuu wewe uwezo wako wa kufikiri hupaswi kuwa hata na simuUmetumia uhuru wako wa kutoa maoni; sikulaumu, hii ndio raha ya JF, kila mtu anaweza kuandika anachotaka!
Halafu inaonekana hakuliona hilo basi, maana yule jamaa aliyekaa alipoliona na kuanza kukimbia, yeye akawa analifuata huohuo upande wake. Huenda alikuwa na mawazo ya mbali sana na hivyo kutohisi chochote
Chanzo cha ajali ni gari ndogo imeingia barabarani ghafla, ndo chanzo
Kuna mmoja kakimbia