Wewe uliyeielewa vyema na mwenye 'Chuki' isiyojificha na huu Mtandao 'JF' na pengine na hata 'Founder' wake Maxence Melo nieleweshe vyema.Mkuu, umeielewa hukumu lakini?
Mkuu mbona unanituhumu vibaya?Kwahiyo ukisikia hivyo roho yako kwatu
😲😲Kwahiyo ukisikia hivyo roho yako kwatu
Mkuu siyo hao Wawili tu bali mpaka Rais JPM, Makamu wake, Waziri Mkuu, CDF Mabeyo bila kumsahau na Diwani hawa huwa tunao hapa 24/7 tu.Mimi nasema tena, Serikali kama serikali ilitakiwa kumpa Maxence Melo na Mike Mushi tuzo kwa kuwa na hili jukwaa hapa Tanzania.
Kuna PS wawili ni watumiaji wakubwa sana wa JF ambao utendaji wao wa kazi unasaidiwa kwa kiwango kikubwa sana na maudhui yanayowekwa hapa JF.
Naamini si hao tu,hata wale top ni watumiaji wazuri sana wa JF,kwa kusoma au kuchangia.
Kama tungekuwa na watu wenye maono na wenye nia ya dhati ya kuwafanya Watanzania wainuke kiuchumi,hakika serikali ingekuwa imeshaingilia na kuipa JF kila aina ya msaada ili iwe "facebook" ya Africa na wakina Max wawe "Zuckerberg" wa Africa.
Wewe hauna shida chochote utakachokiandika hautafanywa chochote nyinyi si binadamu na watanzania zaidi kuliko wengine au umelisahau hilo?Mkuu mbona unanituhumu vibaya?!!!
Nimeandika alichosema ndg.yetu Melo Katika hayo MAHOJIANO.
Bila ya Maxence and wenzake tusingekuwa TUNAJADILIANA hapa.
Hata Kama tuna mitizamo tofauti katika baadhi ya MAMBO haina maana TUSHAMBULIANE katika "Lile" LINALOTUUNGANISHA.
Kila mwenye utimamu na uzalendo wa kweli(patriotic and not nationalist) yuko pamoja na PROSPERITY ya JF na ndugu yetu Maxence.
Alasiri njema kaka!!
Kwa hisani ya hiyo Avatar ,Maombi yamepokelewaKwa hisani ya hiyo Avatar Mungu atubariki JF tushinde kesi yetu.
Mkuu PTER wapi nimesema "sisi" ni binadamu zaidi ya wengine?Wewe hauna shida chochote utakachokiandika hautafanywa chochote nyinyi si binadamu na watanzania zaidi kuliko wengine au umelisahau hilo?
😲😲Wewe hauna shida chochote utakachokiandika hautafanywa chochote nyinyi si binadamu na watanzania zaidi kuliko wengine au umelisahau hilo?
Bila JF ningeiona wapi mimi hiyo Avatar ?Kwa hisani ya hiyo Avatar ,Maombi yamepokelewa
Hama sasa unakaa unafanya nn sasaNchi imekuwa ya hovyo kupita kiasi.
Kwani wewe siyo mmojawao wana wa mpakwa mafuta ?Mkuu PTER wapi nimesema "sisi" ni binadamu zaidi ya wengine?!!!
Unaweza kuniquote hilo?
Haya bhanaBila JF ningeiona wapi mimi hiyo Avatar?
Mungu awajalie waanzilishi wa JF
Mimi ni mwana wa BABA yangu Brown.Kwani wewe siyo mmojawao wana wa mpakwa mafuta?
Nasikia mna Mungu mpya siku nyinyi analindwa na kila aina ya ulinzi mpaka ventilatorMimi ni mwana wa BABA yangu Brown.
Anasema bila yeye wengi wenu hata kula yenu isingekuwepo na Oxygen msingepata.Mimi ni mwana wa BABA yangu Brown.
Mkuu PTER usinikufurishe.Nasikia mna Mungu mpya siku nyinyi analindwa na kila aina ya ulinzi mpaka ventilator
Wameshajipa ushindi wa kishindo Max hawana shughuli naye tena.Tunaomba Mungu ushindi uwe upande wa JamiiForums, hili ni jaribio la kuizima sauti pekee iliyobaki Tanzania.