Tanzania mfumo wa kimahakama uliishakufa long time ago.
Serikali hii inapokunyanyasa ukikimbilia mahakamani unajikuta kumbe umekimbilia kwa serikali ile ile inayokunyanyasa. Hakuna tofauti.
Melo and Co wanajitoa mhanga ili wananchi wahabarishwe lkn mfumo wa kiimla unawawekea vikwazo vikali sana ila inshallah Mungu atawajalia tu mtatoboa. Long live justice.
Serikali hii inapokunyanyasa ukikimbilia mahakamani unajikuta kumbe umekimbilia kwa serikali ile ile inayokunyanyasa. Hakuna tofauti.
Melo and Co wanajitoa mhanga ili wananchi wahabarishwe lkn mfumo wa kiimla unawawekea vikwazo vikali sana ila inshallah Mungu atawajalia tu mtatoboa. Long live justice.