Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Tuache siasa katika hili.

Tuiachie mahakama ifanye kazi yake. Mahakama ile ile iliyoamuru Mbowe na wenzake warudishiwe fedha walizotozwa huko nyuma, ndiyo hiyo hiyo itakayotoa hukumu ya kesi ya ugaidi
Yaani watu wakamatwe kiholela na kuwekwa ndani kiholela kwa sababu za kisiasa kisa mahakama ipo na itafanya kazi yake?Wewe upo tayari kukamatwa kiholela na kuwekwa ndani kiholela kisa mahakama ipo na itafanya kazi yake?
 
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.

UPDATE:


TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .

Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.

Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.

Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .

Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
Makamu mwenyekiti alisema hakuna kumuwekea mdhamana, sasakwanini mawakili walienda huko
 
Huyu baba ana matusi jamani wasukuma sijui tulimuudhi nn, yaani anaenda usukumani halafu anatukana hao wasukuma waliompokea na kuhudhuria shughuli yake, haya katoka hapo kaenda gereza la shy Nako wamefika ni kutukana tu kila mtu, yaani kwa kweli mi hata sishangai kwa kesi zake za ugaidi.
 
Mwambieni Mbowe aachane na ugaidi. Haulipi
Kama alifanya ugaidi yeye ni kwa nini akamatwe pamoja na wafuasi wengine wa chadema?Serikali iliwahi kutangaza kuwa wale wafuasi wengine wa chadema walikamatwa kwa sababu gani?
 
Naogopa hasa wapi tunaelekea kama nchi, naogopa Sana mitazamo yetu wengi kwenye hii Mitandao na hata kwenye majikwaa mbalimbali, hekima uko wapi, mbona umekua adimu kiasi hichi, hekima nakutafuta, watie Nuru yako Wazee kwa vijana , wake kwa waume, ndiopo haki yako ikachomoze tena katika nchi, na Amani yako ikatamalaki tena miongoni mwetu.
Je tumeuvaa uhayawani?
Je sisi ni wanyana wa mwituni hata tuparurane kwa ndimi zetu Kali zilizojaa sumu kama ya nyoka wakali?

Enyi donge dogo wenye hekima inukeni, mkalitie chachu yenu dongo hili kubwa.
Ewe hekima utoke kwenye maficho yako uonekane tena.
Naandika, nasikitika Sana kwa ajili ya nchi yangu.
 
Naogopa hasa wapi tunaelekea kama nchi, naogopa Sana mitazamo yetu wengi kwenye hii Mitandao na hata kwenye majikwaa mbalimbali, hekima uko wapi, mbona umekua adimu kiasi hichi, hekima nakutafuta, watie Nuru yako Wazee kwa vijana , wake kwa waume, ndiopo haki yako ikachomoze tena katika nchi, na Amani yako ikatamalaki tena miongoni mwetu.
Je tumeuvaa uhayawani?
Je sisi ni wanyana wa mwituni hata tuparurane kwa ndimi zetu Kali zilizojaa sumu kama ya nyoka wakali?

Enyi donge dogo wenye hekima inukeni, mkalitie chachu yenu dongo hili kubwa.
Ewe hekima utoke kwenye maficho yako uonekane tena.
Naandika, nasikitika Sana kwa ajili ya nchi yangu.
Chanzo ni viongozi wa kitaifa wanatumia tungo tata mfano mkishindwa kulipa tozo muhamie........
 
Nitasema na mbiguni nitasema mda wangu ukifika ,hakuna UGAIDI KWA MBOWE,

KAMA MBOWE NI GAIDI BASI NA FAMILIA MWL NYERERE NI FAMILY YA UGAIDI ,naishia hapo, wengine mpo hapo hata hamjui taifa kimetokea wapi, tz history back ground hamjui nawambia, umejikuta tu upo police,Tiss, magereza,uamiaji, JWTZ, Mgambo, n.k someni history ya taifa Hili mtajua tumetoka wapi na mtaondoka gizani, na kuongeza kitu flani vichwani kwenu

wewe ndo mpelelezi wa kesi? unakijua unachoongea? au umekalia akili.
 
Back
Top Bottom