Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

watuhumiwa wakikaa muda mrefu polisi sheria imeshaweka remedy zake, nenda kasome sheria au ajiri mwanasheria atakufafanuliwa. there are remedies in every thing that you people complain about.
Sawa hizo remedies zipo je ni wangapi wanajua kuhusu hizi remedies na je zinatekelezwa? Maana Tanzania mabingwa kuandika vitu vizuri kwenye makaratasi lakini sio utekelezaji
 
Nafikiri Rais alikuwa tayari kuzingumza na upinzani mpaka pale mlipotangaza Mpango wa kumnyoa mbele ya waandishi wa habari.

Namaanisha huu upande wa pili wa SSH,umefunuliwa na upinzani wenyewe.
Hapa hawataki kukiri kuwa walikosea! Chadema nao ni wale wale tu kama CCM.
 
Mashehe walipatikana na hukumu hizi kesi ushahidi ndiyo muhimu
 
Ng'wanokoz....
 
Hii ni kweli?

Sina chama, nataka kujua ni kweli?
 
Wanaosambaza taarifa kwamba Mbowe amefikishwa mahakamanj kwa Ugaidi nadhani wanapotosha ili kuvifanya vyombo vya dola vitoke adharani kueleza kwanini afikishwi Mahakamani. Leo kwenye vyombo vya habari tumeona dreva tax aliyepewa kesi ya MO ameachiwa, vyombo vilivyoripoti habari hii vilikuwa Kisutu, je Mbowe amepitushwa Mlango gani waandishi wasimwone? Gaid kwa namna tulivyozoea kuona walivyokuwa wanalindwa mashekkhe wa uhamsho si escort ambayo unaweza ukaificha.

Lakini pia hii nikuichafua mahakama, maana hakuna makosa yanayoonekana ya mtuhumiwa. Means mahakama inarudi kulekule ambako ilijaza watu mahabusu wasio na kosa kwa kisingizio imefungwa mikono.

Tatu nikumchafua Mhe. Rais, kwamba yeye anahusika na hiki kilichotokea. Mwenyekiti wa chama Cha siasa kuwekwa ndani kwa Ugaidi ambao Watanzania milioni 60 awauoni na ambao hakuna ufafanuzi nikumuhusisha moja kwa moja Mhe. Rais kwenye Jambo ambalo hata wananchi wasipoandamana Wala kuingia mtaani, hakuna namna ambavyo utaweza kuwaaminisha watu wa ndani na wageni kwamba ni sehemu salama.

Hii itatoa picha kwamba ipo siku dangote atakamatwa na kuitwa Gaidi Kisha Mahakamani to gerezani, wamiliki wa viwanda na biashara watakamatwa na kuitwa magaidi Kama ambavyo dola ilitumia neno uhujumu uchumi kuwafilisi watu na kuwanyang'anya Mali zao.

Sidhani Kama Rais aliapa kuifanya hii nchi isiwe sehemu sahihi pakuwekeza na kuhifadhi fedha iwe sehemu sahihi yakuchuma na kupeleka kwenye mabenki nje.

Katika Hali ya kawaida kabisa tutakuwa tunashika namba moja Duniani kwa kukiuka haki za binadamu na kuwa na Taifa ambalo hakuna sheria.

Japo sikatai kwamba kwa akili za watu wasiofikiri sawa sawaswa na kwa akili za watu ambao wameakikisha wanarithishana madaraka Kama wafalme sioni Kama haiwezekani kuwaweka watu ndani wanavyojisikia kwa sababu wamejimilikisha nchi.

Wanaopaswa kushauri haya sidhani Kama wataweza kwa sababu JK mke na mtoto wapo bungeni si kwa sababu Wana sifa Bali kwa sababu wamepewa nafasi na utawala uliopo, ataanzaje kuhoji? Mzee Mwinyi naye akihoji haya mwanaye ni muhusika mkuu. Mzee Lowasa mwanaye yupo Dodoma, Warioba mwanaye yupo kwenye mfumo so sidhani kama yupo wakuyapinga haya yasitikee Tanzania.

Ushauri tu ni kwamba, kwa Hali ya Dunia ya Sasa upo uwezekano tutashindwa hata kulipa mishahara au tukauza nchi kwa wachina kulipa mabilioni na matrilioni tunayokopa kufanya mambo ambayo Taifa lingekuwa la haki yangefanywa na wananchi wenyewe.

Mbowe naamini yupo mahabusu osterbay na hana Ugaidi ndani yake.
 
Mimi na Magufuli ni kitu kimoja, hamkuelewa msiba umeisha sasa ni kazi kazi Bisiness as usually Tanzania hoyee, Kazi iendelee.
 
maneno kama haya ndio hata mtuhumiwa DJ gaidi alikuwa nayo, sasahivi yupo segerea amepewa ndoo.
EeenHee Bhwanah,

Mbona na huyo unamchelewesha kumfikisha Segerea mkuu?

Hapana, usinigeukie, ninakukumbusha tu wewe wajibu wako unaouhimiza hapo.
 
Baada ya ccm kutuletea rais msukuma wa kwanza dikteta sasa wameamua kutuletea rais wa kwanza mwanamke dikteta

Kweli katiba mpya imewashika penyewe wameamua kufuata nyayo za hayati kuwabatiza wadanganyika ubatizo wa moto
 
Soon wataaibika Katiba mpyaa HAIEPUKIKI
 
Hii ni kweli?

Sina chama, nataka kujua ni kweli?
Magufuli alikua anazifanyia kazi sana taarifa anazopewa ndio maana maamuzi yake yalikua tofauti na mitazamo ya wengi.
 
nenda mahakamani kamtolee ushahidi ashinde kesi, acha kutapatapa hapa, haimsaidii chochote kwanza hata hajakusikia.
Mahakama yangu ya kwanza ni ya Mungu, utaniambia nini mfano mtu kama wewe, mahakama za kwangu sio za kidunia ila next level Mara elfu moja mahakama zenu za kidunia ambapo mwajiona mmefika

Sikia binafsi sio level YAKO japo WENDA unayo mamlaka ya kidunia, take care, nakuonya Mara mmoja, na zingatia sio ombi ila ni lazima asema bwana
 
Sawa hizo remedies zipo je ni wangapi wanajua kuhusu hizi remedies na je zinatekelezwa? Maana Tanzania mabingwa kuandika vitu vizuri kwenye makaratasi lakini sio utekelezaji
nenda kwa mwanasheria yeyote uliza "remedies za judicial review" ie. habeas corpus, quo warranto, prohibito, mandamus, procedendo, and certiorari.
 
kwa kusema hivyo unafikiri umemwokoa kwa chochote? bado yupo segerea usiku huu.
 
Ukamatwaji wa Magaidi ndiyo upo hivyo, na ashukuru nchi yetu imestaarabika, nchi nyingine order ingekuwa ni "Shoot to kill", no mambo ya mahakama.
 
Nadhani wanasubili ndevu ziote na mvi zionekane tena kama wakati ule. Si unajua ukikosa saloon kwa wiki mbili?
 
Soon wataaibika Katiba mpyaa HAIEPUKIKI
Upo sawa mkuu KATIBA INAKUJA NA HAKUNA WA KUZUIA ningesema Mara nyingi wi confidence, maana najua who iam in connection with my Lord, kakuna wakuzuia ,wanajidanganya tu , tz ni nchi ya Mungu, na kawaumba watz KWA mfano wake, twende tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…