Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Kisutu, Dar: Mbowe afikishwa mahakamani kwa Ugaidi. Akosa dhamana na kupelekwa rumande. Kesi kuendelea Agosti 5, 2021

Mahakama yangu ya kwanza ni ya Mungu, utaniambia nini mfano mtu kama wewe, mahakama za kwangu sio za kidunia ila next level Mara elfu moja mahakama zenu za kidunia ambapo mwajiona mmefika

Sikia binafsi sio level YAKO japo WENDA unayo mamlaka ya kidunia, take care, nakuonya Mara mmoja, na zingatia sio ombi ila ni lazima asema bwana
kwahiyo kwa mahakama yako unaamini mbowe ni msafi? kaulize walio karibu naye, ukiweka siasa pembeni, idadi ya wanawake alionao michepuko, maovu aliyoyafanya hadi wenzake wakakimbia chama, na takataka nyingine nyingi kibao ambazo huzijui, bado kuwasaliti ninyi na kula kwa mgongo wenu wakati ninyi mnapigania na kupigwa virungu yeye anakula bata. Mungu hadhihakiwi na uwimwingize kwenye hii kitu.
 
Sijui kwanini watu wamegoma kujifunza kwa kupitia makosa ya watangulizi
Hamna kosa lolote, jambazi yeyote lazima apelekwe mahakamani, mahakama itaamua kama kakosea or not! Mnataka Rais aingilie mahakama?
 
EeenHee Bhwanah,

Mbona na huyo unamchelewesha kumfikisha Segerea mkuu?

Hapana, usinigeukie, ninakukumbusha tu wewe wajibu wako unaouhimiza hapo.
natamani wamkamate hata leo wampeleke akalale kigodoro kimoja na dj.
 
Mchaga na ugaidi wapi na wapi? mngesema kaiba pesa sawa lakini ugaidi? nafikiri serikali inajidhalilisha kwa hili.
 
Wanaosambaza taarifa kwamba Mbowe amefikishwa mahakamanj kwa Ugaidi nadhani wanapotosha ili kuvifanya vyombo vya dola vitoke adharani kueleza kwanini afikishwi Mahakamani. Leo kwenye vyombo vya habari tumeona dreva tax aliyepewa kesi ya MO ameachiwa, vyombo vilivyoripoti habari hii vilikuwa Kisutu, je Mbowe amepitushwa Mlango gani waandishi wasimwone? Gaid kwa namna tulivyozoea kuona walivyokuwa wanalindwa mashekkhe wa uhamsho si escort ambayo unaweza ukaificha.

Lakini pia hii nikuichafua mahakama, maana hakuna makosa yanayoonekana ya mtuhumiwa. Means mahakama inarudi kulekule ambako ilijaza watu mahabusu wasio na kosa kwa kisingizio imefungwa mikono.

Tatu nikumchafua Mhe. Rais, kwamba yeye anahusika na hiki kilichotokea. Mwenyekiti wa chama Cha siasa kuwekwa ndani kwa Ugaidi ambao Watanzania milioni 60 awauoni na ambao hakuna ufafanuzi nikumuhusisha moja kwa moja Mhe. Rais kwenye Jambo ambalo hata wananchi wasipoandamana Wala kuingia mtaani, hakuna namna ambavyo utaweza kuwaaminisha watu wa ndani na wageni kwamba ni sehemu salama.

Hii itatoa picha kwamba ipo siku dangote atakamatwa na kuitwa Gaidi Kisha Mahakamani to gerezani, wamiliki wa viwanda na biashara watakamatwa na kuitwa magaidi Kama ambavyo dola ilitumia neno uhujumu uchumi kuwafilisi watu na kuwanyang'anya Mali zao.

Sidhani Kama Rais aliapa kuifanya hii nchi isiwe sehemu sahihi pakuwekeza na kuhifadhi fedha iwe sehemu sahihi yakuchuma na kupeleka kwenye mabenki nje.

Katika Hali ya kawaida kabisa tutakuwa tunashika namba moja Duniani kwa kukiuka haki za binadamu na kuwa na Taifa ambalo hakuna sheria.

Japo sikatai kwamba kwa akili za watu wasiofikiri sawa sawaswa na kwa akili za watu ambao wameakikisha wanarithishana madaraka Kama wafalme sioni Kama haiwezekani kuwaweka watu ndani wanavyojisikia kwa sababu wamejimilikisha nchi.

Wanaopaswa kushauri haya sidhani Kama wataweza kwa sababu JK mke na mtoto wapo bungeni si kwa sababu Wana sifa Bali kwa sababu wamepewa nafasi na utawala uliopo, ataanzaje kuhoji? Mzee Mwinyi naye akihoji haya mwanaye ni muhusika mkuu. Mzee Lowasa mwanaye yupo Dodoma, Warioba mwanaye yupo kwenye mfumo so sidhani kama yupo wakuyapinga haya yasitikee Tanzania.

Ushauri tu ni kwamba, kwa Hali ya Dunia ya Sasa upo uwezekano tutashindwa hata kulipa mishahara au tukauza nchi kwa wachina kulipa mabilioni na matrilioni tunayokopa kufanya mambo ambayo Taifa lingekuwa la haki yangefanywa na wananchi wenyewe.

Mbowe naamini yupo mahabusu osterbay na hana Ugaidi ndani yake.
Nimekusoma mkuu 'Beatrice Kamugisha'
Ni mawazo fikirishi, hata kama ni mchanganyiko wa hisia!
 
kwa kusema hivyo unafikiri umemwokoa kwa chochote? bado yupo segerea usiku huu.
Ni mapito tu ,kwani ,MTUME alipita mangapi, lakini pia sie wakiristu, YESU ALIPITA MANGAPI,? ukisikia wakiristu Wanasema BWANA na muokozi wanga,, sio ya leo ina history,
 
Muda mchache uliopita Mwenyekiti wa Chadema Mbowe alikuwa mahakamani Kisutu.

UPDATE:


TAARIFA KWA UMMA JUU YA AFYA YA MWENYEKITI WA TAIFA MHE.FREEMAN MBOWE .

Tumepokea taarifa za hivi punde kuwa Mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe.Freeman Mbowe amefikishwa katika Mahakama ya Kisutu na amesomewa Mashitaka ya Ugaidi.

Hii ni pamoja na ukweli kuwa Familia na Mawakili wake walijulishwa kuwa wanampeleka hospitali na hivyo alifikishwa Mahakamani kimyakimya bila kuwa na uwakilishi wa wanasheria wala familia yake.

Taarifa zaidi zitakuja hapo baadaye ili kujua aina halisi ya mashitaka ambayo amefunguliwa (charge sheet) baada ya kuiona hati ya mashitaka .

Imetolewa Leo tarehe 26 Julai,2021

John Mrema
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje
1627308403152.png
 
Gaidi ndani ya mahakama?
Bado unamsaka Basha ako? Kajumuike naye segerea na usiikose hiyo kwani mtaani tunasema bonge la chance! Kwapia kisimu Cha tochi hapo Kisha kimbilia kituo Cha polisi ili kesho wakupeleke ukaungane na bwana Ako maana sio Kwa muwasho huo ulionao!
 
Hamna kosa lolote, jambazi yeyote lazima apelekwe mahakamani, mahakama itaamua kama kakosea or not! Mnataka Rais aingilie mahakama?
Ahh Ukishasema Jambazi maana yake ushahukumu mahakani kufanyni nini sasa??? akili ndogo kama punje ya Mchele
 
natamani wamkamate hata leo wampeleke akalale kigodoro kimoja na dj.
Hiyo inaonekana itakupa raha sana ndani ya moyo wako.

Usiishie kutamani mkuu, kama sisi wengine "tunaotamani", wewe himiza tu na itakuwa, si upo upande wenye nguvu mkuu wangu!
 
Back
Top Bottom