Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
CCM wanajua hawapendwi. Hawataweka mazingira ambayo Watanzania watapiga kura za haki na kuwatoa. Haitatokea. Nashangaa kwa nini akina Mbowe hawajalijua hilo. Ni mpaka damu imwagike. Vinginevyo we are stuck with cahma cha majambazi.
Tuache kulia lia sasa wakuu. Hakuna njia ya amani itakayoleta mabadiliko, Kongo na mataifa mengine silah zipo, mapanga yapo, uwezekano upo mkubwa tu wa kukata migomba mmoja baada ya mwingine mpaka waseme po