KISUTU: Jamhuri kuleta mashahidi 24, vielelezo 19 kesi ya Mbowe na wenzake

Mimi siyo mwanasheria! Ila ukiyaangalia hayo mashtaka, unao upna kabisa ni ya kitoto! Na sidhani kama yana mashiko. Yaani tsh laki 6, ndiyo iweze kutumika kulipulia vituo vya mafuta! Kuweka miti barabarani 😁😁😁, eti na kulipua mikusanyiko ya watu!!

Halafu Mama akalishwa na matango pori, eti kuna watuhumiwa wengine tayari wapo gerezani wanatumikia vifungo vyao!!
Hakuna kesi hapa!!! Tunapotezeana tu muda.
 
Nadhani Mh. Mag3 alizingatia protokali, maana hiyo namba pendwa haina space pale.

Au nasema uongo ndugu yangu?
Basi sawa maana nilijua hackers hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Yani 600,000 ndo uwalipe watu wafanye kazi hizo kweli?

Hao walio lipwa ni watanzania au wakimbizi?

Hivi kweli wanzilishi wa hizi kesi wanajuwa wanacho shitaki au ni kukurupuka?

Kweli elimu ya bongo naona inaitajika kurekebishwa sanaaa mana vichwa vya watu wengi vimeoza mpka vya juu kabisa. Haiwezekani laki 6 itoshe kufanya ugaidi.

Mabomu hivi ni shilingi ngapi kwani?

Au me sielewi usikute ni mtu moja alilipwa hiko kiasi afanye kazi zote. Ila apana aina logic ndani yake.
 
Yaani ulipe watu laki sita kwa ajili ya kufadhili ugaidi?. Aingii akilini. Mngeandika kingine kabisa. Nani apokee laki sita ajitwishe msalaba wa kufanya ugaidi. Hiyo pesa itamsaidia nini. Kweli mnaleta mahakamani vitu kama hivi. Mbona mnawapa mahakimu na majaji kazi ngumu hivi. Kupoteza mda, resorces. Mimi ninawashauri CCM kuliko kupata shida hivi badilisheni katiba tuwe na chama kimoja tuachane na huu usumbufu na tutaishi kwa amani.
 
Unaukumbuka ule ushahidi wa Lwakatare?.
Ule ushahidi uliyokuwa utolewe na Mwigu Madilu?
Alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani kwenye matukio ya ujambazi alikuwa kufika yeye tena akiwa kavalia magwanda rasmi.
Sasa hivi amehamishia usanii wake kwenye, tozo kandamizi na bado eti anaaminiwa.
Nchi hii imegeuzwa kichekesho kweli kweli na watawala wetu. Hata hivyo bado tunasubiri akautoe ule ushahidi mbinguni kwanza, halafu ashuke na mawingu kuja kuumalizia wa duniani.
 
Mbowe siyo gaidi kina chose banish a Mbowe aitwe gaidi ni ile misimamo yake kisiasa.
Mbowe anauwezo wa kujenga hoja na akaeleweka.Wenzetu hawa Ccm hawana huo uwezo, wao wanachoweza ni kukubambikia kesi za uhujumu uchumi, ugaidi na hata kukuua ikibidi.
 
Siasa ni mchezo wa kuigiza, haya mambo yalikua yanafamyika Zanzibar kila baada ya uchaguzi mkuu watu wanauliwa na wazanzibari waliitwa kuwa wanapenda siasa sasa magaidi ccm mmeona wanavyofanya unyama sasaivi ndio muamini ccm ni janga kubwa sana
 
Mbowe kumtukana magufuli atajutia sana ipo siku ataenda kulipigia kaburi magoti
Kwani kuna kesi nyingine mwajiandaa kubumbaa? Maana hii ya sasa labda mngewapelekea Law school Moot Court.
 
Ni akili zakoooo au umeazima za kuazima?
Safali hii mmeshikwa ken*** de zenu
Sasa mnahangaika.
Mbowe ni mtu mzima ni upuuzi kujiingiza kwenye mambo ya kijinga kama hayo.
Ila kwa kuwa alizoea kufanya huo umafia wacha alobaini zake zifanye kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…