Kisutu: Kesi ya Erick Kabendera yaendelea. Jamhuri yaweka kisiki Erick kushiriki msiba wa mama yake mzazi

Wanasubiri nini kuninyonga? Mmeshanyonga wangapi mpaka sasa hivi ili nijue kwangu itakuwa muendelezo tu?
Wewe kula kulala nani ahangaike na wewe serikali ina hangaika na kina Kabendera ili waache kukupa vijisenti ili usitukana serikali. Naona hali yako ni mbaya sana nimeambiwa uchumi wako umeyumba.
 
Wewe ni zaidi. Ndiyo mliokuwa mnapata pesa toka kwa mabeberu kupitia kwa Kabendera. Pole kunywa maji upunguze stress Kabendera karudishwa mahabusu hakuna cha kuaga wala kuzika. Mwakilishe mkuu!
Sisi siku hizi haturopoki sana...Matokeo yatatoka wala usiwe na wasiwasi! Kuna siku utakuwa unalia sana humu Jf kwa ajili ya fulani! Short time ahead my friend! Hatunaga maneno maneno sana baada ya kugundua tunapokwama ni wapi! Discipline itatembea tu mkuu mark me!
 
Huyu Simon wankyo atakuwa mchawi si bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hiyo tunaanza na wewe!
 
Wewe kula kulala nani ahangaike na wewe serikali ina hangaika na kina Kabendera ili waache kukupa vijisenti ili usitukana serikali. Naona hali yako ni mbaya sana nimeambiwa uchumi wako umeyumba.

Ni kweli aisee, kwa hiyo mimi sintanyogwa kama wale wengine mliowanyonga? Uchumi wangu umeyumba muda sana mkuu, nipeni na mimi ajira huko kwenye kundi lenu la watu wasiojulikana niwe na maisha kama ww.
 
Ni kweli aisee, kwa hiyo mimi sintanyogwa kama wale wengine mliowanyonga? Uchumi wangu umeyumba muda sana mkuu, nipeni na mimi ajira huko kwenye kundi lenu la watu wasiojulikana niwe na maisha kama ww.
Wewe uko lazy mno wanahitajika watu wanaojitegemea siyo kula kulala mkuu!
 
Au tuanze na wewe sasa hivi? Then waje wanasaccos waanze kulalamika kama wanavyolalamika sasa hivi kwa Kabendera??
Sijibizani na wajinga!
 
Ila huu.ni ukatili wa hali ya juu sana,naimani ipo siku kabendela atakuja kuingia ikulu na kuna familia zitakuja kunyongwa na kuishia mahakani.
Haiwezekani mtu afanyiwe ukatili kiasi hiki hata kama kesho mtu anachukuwa nchi hii huwezi sahau hujuma hizi lazima ujifunze kuumiza hata kama wewe ni swala tano, inauma na inaumiza huyu jamaa yuko na wakati mgumu sana mungu amsaidie na amtie nguvu ili aweze kuyashinda na kuyapita haya yote maana ni mateso ni sawa na mtu akushushe kwenye bwawa la mamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa rai kwa kila mwanakagera 2020 bwana yule tusimpe na wawakilishi wote wa CCM wa ngazi za udiwani na ubunge waende na maji. Namchukia sana..I can't express my hatred into words.
 
Akina Mzee Mwanakijiji huwa hawaoni huu upande. Wao wanaona mazuri tu...!!
Usiandike kutoka kwenye hisia tu. Hivi, mnajua kuna Watanzania wangapi wako rumande au jela na wamepoteza wapendwa wao? Suala hapa lilitakiwa kuulizwa (badala ya kuomba) ni utaratibu gani uliopo kisheria wa mfungwa au mshtakiwa aliye rumande anapopata msiba? Na je utaratibu huo kwanini usitumike (kama upo) kwa Eric Kabendera? Hili ndilo swali langu badala ya kutoa lawama tu. Maana binadamu wote ni sawa. Ila kama huwa hawaruhusiwi kwenda kwenye misiba hata kama ni wa baba au mama, au mtoto, kwanini iwe tofauti kwa Kabendera? Tuwe na ubinadamu, mwenzetu kafiwa na Mungu ampe faraja sana lakini tusije tukajiona miungu wa kudhania tunajua majibu ya maswali ya umilele.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…